Rombo: Freeman Mbowe apendekeza Mzee Shirima wa Precision Air atambuliwe Kitaifa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,992
218,926
Akizungumza kwenye Ibada ya Mazishi ya Mwanzilishi wa Shirika la ndege la Precision Shirima , Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ameiomba Serikali ya Tanzania kutambua Mchango wa Mzee huyo katika maendeleo ya Taifa

Mbowe amesema serikali inaweza kumpa nishani au Tuzo yoyote ya Heshima ya ngazi ya kitaifa mzee huyo , ili iwe motivation kwa watu wengine kutokana na mambo mengi mazuri na ya maendeleo yaliyofanywa na Hayati Shirima katika enzi ya Uhai wake .

mbowe.jpg
Freeman Mbowe akiaga mwili wa Michael Ngaleku Shirima katika kanisa la mtakatifu Pius x, lililopo Tarakea Wilaya ya Rombo
Toa Maoni yako .
 
Akizungumza kwenye Ibada ya Mazishi ya Mwanzilishi wa Shirika la ndege la Precision Shirima , Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ameiomba Serikali ya Tanzania kutambua Mchango wa Mzee huyo katika maendeleo ya Taifa

Mbowe amesema serikali inaweza kumpa nishani au Tuzo yoyote ya Heshima ya ngazi ya kitaifa mzee huyo , ili iwe motivation kwa watu wengine kutokana na mambo mengi mazuri na ya maendeleo yaliyofanywa na Hayati Shirima katika enzi ya Uhai wake .

Toa Maoni yako .
Mbowe upuuzi wa kikabila utaacha lini

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Akizungumza kwenye Ibada ya Mazishi ya Mwanzilishi wa Shirika la ndege la Precision Shirima , Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ameiomba Serikali ya Tanzania kutambua Mchango wa Mzee huyo katika maendeleo ya Taifa

Mbowe amesema serikali inaweza kumpa nishani au Tuzo yoyote ya Heshima ya ngazi ya kitaifa mzee huyo , ili iwe motivation kwa watu wengine kutokana na mambo mengi mazuri na ya maendeleo yaliyofanywa na Hayati Shirima katika enzi ya Uhai wake .

Toa Maoni yako .
Naunga mkono hoja anastahili apewe
 
Kuanzisha shirika la ndege
Yaani kitu alicholifanyia taifa ni kikubwa mno katuheshimisha kama nchi kuwa Tanzania kuwa Tanzania pia kuna ngozi nyeusi wazawa wako vizuri wawezao kushindanana hata kwenye biashara kubwa kama za ndege

Apewe nishani kwa kweli.kutendea haki.msisha yake aliishi na makubwa alifanya hadi kufikisha Pression Air kuwa brand kubwa sana peperusha jina la Tanzania la private sector
 
Akizungumza kwenye Ibada ya Mazishi ya Mwanzilishi wa Shirika la ndege la Precision Shirima , Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ameiomba Serikali ya Tanzania kutambua Mchango wa Mzee huyo katika maendeleo ya Taifa

Mbowe amesema serikali inaweza kumpa nishani au Tuzo yoyote ya Heshima ya ngazi ya kitaifa mzee huyo , ili iwe motivation kwa watu wengine kutokana na mambo mengi mazuri na ya maendeleo yaliyofanywa na Hayati Shirima katika enzi ya Uhai wake .

Toa Maoni yako .
Hao wafanyabiashara maarufu ndio walipaswa kuwepo pale bungeni na kupewa wizara nyeti kama wizara ya biashara na fedha, sio hawa akina kapuku wasiojua hata kufuga kuku.
 
Weka neno "baadhi" kutenda haki sio wote
Andika "baadhi ya wachaga ni next level ' kuna wachaga wengine hamna kitu kichwani ila baadhi wako fit sana akiwemo.huyo marehemu Mwanzilishi wa Precision ni Next Level hata wanyakyusa hutumia ndege zake
Ni kweli , mimi huo ndio usafiri wangu wa kwenda Mbeya
 
Yaani kitu alicholifanyia taifa ni kikubwa mno katuheshimisha kama nchi kuwa Tanzania kuwa Tanzania pia kuna ngozi nyeusi wazawa wako vizuri wawezao kushindanana hata kwenye biashara kubwa kama za ndege

Apewe nishani kwa kweli.kutendea haki.msisha yake aliishi na makubwa alifanya hadi kufikisha Pression Air kuwa brand kubwa sana peperusha jina la Tanzania la private sector
Angekuwa uingereza angepewa u sir
 
Back
Top Bottom