ruhi
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 3,791
- 5,523
Kwani Elon na Bill gates hawatambuliwi na serikali ya Marekani?Kuwatambua marais waliopita inatosha kabisa wengine watambuliwe na ndugu, jamaa na marafiki.
Kwani Elon na Bill gates hawatambuliwi na serikali ya Marekani?Kuwatambua marais waliopita inatosha kabisa wengine watambuliwe na ndugu, jamaa na marafiki.
Kwako kila kitu ni kwa wanasiasa. Majina ya mitaa, mashule, viwanja vya mpira, vya ndege. Yaani kila kitu. Hivi waTanzania wasio wanasiasa hawajawahi kulitendea taifa mambo mazuri? This mindset should be changed.Kuwatambua marais waliopita inatosha kabisa wengine watambuliwe na ndugu, jamaa na marafiki.
Jina zuri hoja utumboKipi alichokifanya atambuliwe kitaifa? Wachaga acheni ukabila, mbowe ndio wa ovyo hakuna mfano
Pamoja na kuanzisha pricision mbinu aliyotumia yeye na wanahisa wenzake kama mramba ni kuihujumu air tanzania ili ife watawale anga precision. Booking za air tanzania mara nyingi zilihujumiwa na kutumika kukata tiketi za precision.Akizungumza kwenye Ibada ya Mazishi ya Mwanzilishi wa Shirika la ndege la Precision Shirima , Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ameiomba Serikali ya Tanzania kutambua Mchango wa Mzee huyo katika maendeleo ya Taifa
Mbowe amesema serikali inaweza kumpa nishani au Tuzo yoyote ya Heshima ya ngazi ya kitaifa mzee huyo , ili iwe motivation kwa watu wengine kutokana na mambo mengi mazuri na ya maendeleo yaliyofanywa na Hayati Shirima katika enzi ya Uhai wake .
Toa Maoni yako .
Taifa linapoteza nini likiwatambua hata watu wa kada nyingine, waliotendea makubwa nchi yao kuliko kuwatambua wanasiasa pekee, hata kama walikuwa wadhalimu?.Kwahyo kila alie anzsha shirika atambulike? Mbna nchi itakua ya ajabu sana
Mpaka inakera kila kona ni majina ya wanasiasa wastaafu na wanaotawala,uchawa umezidi sana.Kwako kila kitu ni kwa wanasiasa. Majina ya mitaa, mashule, viwanja vya mpira, vya ndege. Yaani kila kitu. Hivi waTanzania wasio wanasiasa hawajawahi kulitendea taifa mambo mazuri? This mindset should be changed.
Biashara na mali zilimnufaisha yeye binafsi na familia yake. Bora angesema hata mzee Nimrod Mkono. Maana nimesikia alijenga sana mashule na vituo vya afya kisha akavipa serikali
Kwani Chadema na Wachaga hawana hizo tuzo hadi waiambie Serikali!!!!Akizungumza kwenye Ibada ya Mazishi ya Mwanzilishi wa Shirika la ndege la Precision Shirima , Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ameiomba Serikali ya Tanzania kutambua Mchango wa Mzee huyo katika maendeleo ya Taifa
Mbowe amesema serikali inaweza kumpa nishani au Tuzo yoyote ya Heshima ya ngazi ya kitaifa mzee huyo , ili iwe motivation kwa watu wengine kutokana na mambo mengi mazuri na ya maendeleo yaliyofanywa na Hayati Shirima katika enzi ya Uhai wake .
Toa Maoni yako .
Hoja yako ni mpya , kwamba ATC Iliuliwa na precision !Pamoja na kuanzisha pricision mbinu aliyotumia yeye na wanahisa wenzake kama mramba ni kuihujumu air tanzania ili ife watawale anga precision. Booking za air tanzania mara nyingi zilihujumiwa na kutumika kukata tiketi za precision.
Ushindani kuua cha umma alikuja kumaliza jpm na kulazimika kuyumba precision. Ma ceo wa precision wa kenya kazi kubwa ilkua kuhujumu air tanzania.
Hata hivyo mzee shirima anastahili sifa sana kwa uthubutu na precision ipo hadi leo. Ubepari hauna mjomba. Ukiwa na viongozi wa serikali corrupt mashirika ya umma yatakufa tu. Inahitaji calibre ya watu kama magufuli. Hata hii air tanzania mpya chini ya hawa viongozi wa kuuza bandari zetu itakufa tu au kuendeshwa kwa hasara kubwa.
Swali la kijingaKwani Chadema na Wachaga hawana hizo tuzo hadi waiambie Serikali!!!!
Mbona wewe mpuuzi umejibu Fala weweSwali la kijinga
Kwani fala huwa hajibu ?Mbona wewe mpuuzi umejibu Fala wewe
Mkuu hiyo tuzo sijui tozo itamsaidia nini mwanae Vicent Michael Shirima kuendeleza biashara ya babake!Kwani fala huwa hajibu ?
Level nyingine ya kufa kwenye ligi ya kunywa pombe kwa kombe la alfu 50Anastahili,ingawa wachaga wanapigwa vita ila ukweli wachaga ni level nyingine!
ZURIIII! WANAPIGWA VITA NA NANI MPUUZI WEWE MBONA WAPO KILA MAHALI NA TUNAISHI NAO VIZURI TUU KAMA MAKABILA MENGINE. PIMBI WEWE USITULETEE MANENO YA UKABILA KAMA KENYA NA RWANDA. KENGE WEWE! STUPIDYLevel nyingine ya kufa kwenye ligi ya kunywa pombe kwa kombe la alfu 50
Unawashwa??? Nauliza unawashwa??? Nakuuliza tena unawashwa? Acha kuparamia watu pun ga wewe! Akili yako yenyewe ndogo unaropoka tu bila kuelewa kilichoandikwa! Acha bangi huziweziZURIIII! WANAPIGWA VITA NA NANI MPUUZI WEWE MBONA WAPO KILA MAHALI NA TUNAISHI NAO VIZURI TUU KAMA MAKABILA MENGINE. PIMBI WEWE USITULETEE MANENO YA UKABILA KAMA KENYA NA RWANDA. KENGE WEWE! STUPIDY
Hata sijui unalia nini yaani !Mkuu hiyo tuzo sijui tozo itamsaidia nini mwanae Vicent Michael Shirima kuendeleza biashara ya babake!
Kumbuka huyo Marehemu ni mfanyabiashara kama mfanyabiashara mwingine yoyote wa huko Rombo mwenye Duka kama Mangi wengine walivyo popote kwenye biashara zao. Ushamba wako ni kwa kuwa yeye anaendesha shirika la ndege ambapo mwendazake aliwapumbaza na kuona ndege kuwa ndio kila kitu Fala wewe!
Hainisaidii chochote kumjua.Bila shaka humjui vizuri Shirima
Tujulisheni alivyovifanya basi?Naunga mkono hoja anastahili apewe