lunatoc
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,911
- 5,444
Haya Mambo acheni tu, nimewahi pitia hiyo stress ya kummaliza mtu.
Nilikuwa nimeshajiandaa kwa lolote Lile. Bahati nzuri nikapata safari ya ghafla muda huo huo. Nilivyorudi town nikawa mpya kabisa.
Sema wanawake wanakera sana Kama hayajakukuta huwezi vaa viatu vya Huyo mwanaume.
RIP
Nilikuwa nimeshajiandaa kwa lolote Lile. Bahati nzuri nikapata safari ya ghafla muda huo huo. Nilivyorudi town nikawa mpya kabisa.
Sema wanawake wanakera sana Kama hayajakukuta huwezi vaa viatu vya Huyo mwanaume.
RIP