mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,841
- 106,045
Hahaha matatizo yapo pande zote mbiliWanawake wakishasikwa masikio huwa na ngebe sana kmmmk
Sema kwa wenzetu kidogo wamezidi😂
Akishapata kahela,ka ist kagari basi kamaliza
Ova
Hahaha matatizo yapo pande zote mbiliWanawake wakishasikwa masikio huwa na ngebe sana kmmmk
Yani akishaanza kugongwa tu uchi hupewi, mazonge yanaanza ni vibweka tu kila saa mara kaondoka haagi!Hahaha matatizo yapo pande zote mbili
Sema kwa wenzetu kidogo wamezidi😂
Akishapata kahela,ka ist kagari basi kamaliza
Ova
HahahaYani akishaanza kugongwa tu uchi hupewi, mazonge yanaanza ni vibweka tu kila saa mara kaondoka haagi!
Majibu ya mkato na kejeli yani dah kichapo hakiepukiki!
Mwanmke ndio kiumbe kinachoweza kusitisha mahusiano na sio mwanaume.Hahaha
Mwanamke akishapoteza mapenzi,hisia kwako
Hiyo sahau anaweza kukufanyia lolote
Tena kama pembeni kuna mtu anmpa msukumo
Basi kama uko naye inatakiwa akili ya ziada
Ku deal naye
Ova
Kweli kabisaMwanmke ndio kiumbe kinachoweza kusitisha mahusiano na sio mwanaume.
Mwanamke akisema basi jua kamaanisha na ukimbie kwan ukilazamiaha utaona moto na rangi zake kwa uzuuuri. Ndio maana mwanamme akilazimisha kusitisha mahusiano baada ya muda atarudi kubembeleza ni tofauti na mwanamke.