Mkuu hata kama unakuwa busy sana na kazi angalau unaporudi nyumbani jioni busus moja tu na hug motomoto linatosha.Make that kiss wetty,wild and hotty.Siyo unambusu tuu hapana,you make it come from your inner circle and deepest part of your heart.
On weekends si mbaya Jmosi mkaspend the day at home playing under the bedsheets then jioni mnaenda hata dinner na kama mfuko hauruhusu prepare something at home.
On Sunday you can go out for a picnic or spend time together.
hata ukiwa kazini mpigie simu angalau mara moja au mbili kumuonyesha yupo kwenye mawazo yako.
Even the way you call her name should be exceptional and the way you touch her hands.
These small things are the easiest form to express deep love .
E
Mkuu hata kama unakuwa busy sana na kazi angalau unaporudi nyumbani jioni busus moja tu na hug motomoto linatosha.Make that kiss wetty,wild and hotty.Siyo unambusu tuu hapana,you make it come from your inner circle and deepest part of your heart.
On weekends si mbaya Jmosi mkaspend the day at home playing under the bedsheets then jioni mnaenda hata dinner na kama mfuko hauruhusu prepare something at home.
On Sunday you can go out for a picnic or spend time together.
hata ukiwa kazini mpigie simu angalau mara moja au mbili kumuonyesha yupo kwenye mawazo yako.
Even the way you call her name should be exceptional and the way you touch her hands.
These small things are the easiest form to express deep love .
E
angalau asilimia 20 ya wanaume wa bongo wangekuwa ivi, mbona tungefaidi...
Mimi ni mmoja wao ndugu yangu!
Mimi ni mmoja wao ndugu yangu!
Ingekuwa vizuri tumpate mkeo au hani wako ndo atwambie manake mhhhh kuamini inakuwa ngumu coz malalamiko siku hizi yamekuwa mengi sana hata toka kwa wale baliopata bahati mbaya wakaolewa na mibaba yenye VIJI-CENT.
[I said:Mrembo;320105]angalau asilimia 20 ya wanaume wa bongo wangekuwa ivi, mbona tungefaidi...[/[/I]QUOTE]
[I said:Lorain;320109]Kwa kweli Kevo hapo umenigusa ile mbaya na point yako, you have shown a good example. Keep it up[/I].
Mrembo/Lorain...
Be careful for what you wishing, you might get it....ngoja niishie hapo.
MJ
Wa kwangu amepata bahati ya kupata kijana anayejua anahokitafuta!
Weekend moja moja unampa huduma ya malkia,unaamka asubuhi na kutayarisha kifungua kinywa,kama unajua kupika unampikia chakula cha mchana au usiku na kumkalisha kwenye kochi[miguu yake unamwekea mto kwenye stuli]na kumnawisha na kumletea kila kitu yeye asiamke pale.
Wanaume wa wapi hawa unaowapa ushauri huu?? Just curious
I hope Wanaharakati wote.... nikiendelea sana labda niseme Waafrika wa Kitanzania teh teh teh...au vipi hutaki???