Arudi bongo mkatorikin
Mnataka kumuua tena
Arudi bongo mkatorikin
Usiseme woote sema wengiWanasiasa wote ni opportunistic tu......ila nayeye Roma baada ya kurudi alikotekwa aliulizwa mengi ila hakutaka kusema kilichotokea
Viongozi wa dini sio wanasiasaKwenye mambo ya siasa unafiki ndiyo mpango mzima especially siasa zetu za kiafrika. Hatutegemei kuona mwanasiasa akipinga uongozi wake unless awe upande wa upinzani
Kwa herufi kubwa kabisa 'WANASIASA WOTE NI OPPOTUNISTICS' WOTE WAPO KWAAJILI YA MASLAHI BINAFSI,AWE UPINZANI AU CHAMA TAWALA HAKUNA ANAYEPAMBANIA MASLAHI YAKO WEWEUsiseme woote sema wengi
Ushakata tamaa, sasa kwenye jukwaa hili unatafuta nini.? Si uende MMU au Nyumba na makazi kule?Kwa herufi kubwa kabisa 'WANASIASA WOTE NI OPPOTUNISTICS' WOTE WAPO KWAAJILI YA MASLAHI BINAFSI,AWE UPINZANI AU CHAMA TAWALA HAKUNA ANAYEPAMBANIA MASLAHI YAKO WEWE