Roma Mkatoliki: Viongozi ambao hawakukemea maovu kipindi cha mwendazake sio wa kuwaamini

Jerlamarel

JF-Expert Member
Sep 14, 2021
843
2,517
Nakubaliana na Roma 100%, viongozi ambao ni bendera fuata upepeo hawatufai na ndio wanafanya sekta ya siasa ionekane ni kanjanja.

Viongozi wa kisiasa wanapaswa wasimamie ukweli siku zote bila kujali consequences ya nyadhifa zao, sio kufuata upepo wa mtu fulani ilimradi wamridhishe yale anayoyataka hata kama sio sahihi.

"2015-2021 Wengi Wetu(Kama Taifa)Tulipitia Kipindi Kigumu Mno, Na Wengine Wameshatangulia Mbele Ya Haki/Wana Vilema Vya Maisha

Kiongozi Ambaye Hakuonekana Kukemea Au Kuchukizwa Na Madhila Haya,Leo Hii Hata Akiongea Kitu Gani Au Kuonyesha Upendo Gani, Nakuwa Mzito Sana Kumuamini!

Tena Angalau Hata Kidogo Wale Walioamua Kukaa Kimya (Labda Waliumia Moyoni, lIngawa Pia Sio Sawa Kukaa Kimya)Kuliko Wale Ambao Waliona Ni Sahihi Tu Au Walipoambiwa Kuna Shida,Wakasema Hapana Hakuna Shida Tuko Vema Na Kuna Amani Na Utulivu!! Moyo Wangu Umekuwa Mzito Kuwaamini Tena."
 
Screenshot_20211102-092854.jpg
 
Arudi bongo mkatoriki

Hana haja ya kurudi BONGO, anaweza kutoa mistari akiwa huko huko kwani TEKNOLOJIA inamuwezesha!! Hujaisikia ngoma aliyotoa na STAMINA akiwa huko huko majuu?
 
  • Thanks
Reactions: Lee


Unajua Mzilankende Alikuwa Anawatisha

Unakumbuka Issue Ya Sister Wa Bugando Hospital

Aliyekuwa Na Ukwasi Tele Akajiua

Mzilankende Aliwaambia Ninyi Mniombee Niwe Na Moyo Wa Kutunza Siri Zenu.


Najua Siri Zenu Nyingi, Ma~Askofu Kimya
 
Viongozi wengi wa kibongo wanaangalia upande unaofurahisha na kuacha upande unaoumiza/chukiza wakati mwingine ndio mzuri na ni muhimu ie suala la machinga tunaona lilaletewa siasa kwa sababu linawafurahisha watu lakini kiukweli UMACHINGA sio mzuri na sio suala la kujivunia eti linatoa ajira ukizingatia tuliambiwa tuko uchumi wa kati yaani maana yake Kama tuko uchumi wa kati hutukutakiwa tuwe na machinga badala yake tungekua na dealers au distributors ambapo tuna viwanda vingi vinachipukia na Hawa madealers na madistributors ambao wanaunganisha wazalishaji na masoko Kama ilivyo Malaysia, China, Singapore na kwingineko ila kwa ujinga wetu tunashangilia furaha ya kuwa machinga na mama ntilie badala ya kuchukia kwa uchungu kuwa mnyonge machinga na mama ntilie kwa faida ya watu wachache.
 
Hao wengi huyo roma alifanya sensa lini?

Watu wanapenda kukuza mambo kwa hoja za kipumbavu.

Hao wengi wenye vilema ama maumivu alifanya lini sensa ya taifa akapata hesabu kwamba wengi waliumizwa ama kuteswa?

Yeye si alikimbia mke, atulie tumkamue mkewe.
 
Hao wengi huyo roma alifanya sensa lini?

Watu wanapenda kukuza mambo kwa hoja za kipumbavu.

Hao wengi wenye vilema ama maumivu alifanya lini sensa ya taifa akapata hesabu kwamba wengi waliumizwa ama kuteswa?

Yeye si alikimbia mke, atulie tumkamue mkewe.
Hehee mbona unapaniki hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom