Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
- Thread starter
- #21
Iyo kauli kuwa chadrma imekufa inatolewa na mtu anayejia nguvu ya chadema sema anajitoa akili tu.Chadema imeshaozaga kabisa zamani niliwapenda kwa hoja zao nakujitolea ila sasa wanapresha na hawana sifa tena.
Yaani wao wadelete tu hicho chama au wakae kimya kama vyama vingine.
Eti naye tundu lissu anataka kugombea uongozi mwaka huu kwanini asisubirie tu 2025 ?
Iliona wapi chama kilichokufa kinaundiwa ukawa?