Mgonga Like
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 1,250
- 1,641
Mie mgeni hapaShahada nne huku unakula ARV,kweli shahada nne ulishindwa kuzitumia hadi unapiga pekupeku. Matokeo yake ukapata ngoma,ukaugua ukasingizia umepewa sumu. Mkeo kaenda kwa ngoma uliyomuambukiza. Kama shahada nne ni kuua mkeo kizembe kwa kumuambukiza ngoma. Wallah bora la saba.