Roles model kama Hobbies, Nyamazeni tu

Roles model kama Hobbies, Nyamazeni tu

benteke

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
1,305
Reaction score
1,069
Hivi tunavosema hobbies zetu au kuwataja watu mashuhuri au wazazi kuwa roles model wetu tunamaanisha kweli?

Ni ajabu sana unakuta mtu anasema roles model wake ni baba yake au mama yake lakini ukiangalia uhalisia hamna hata kimoja anachokifanya angalau ashabiiane kimtazamo na kimatendo na hao wazazi au superstars.

Tuweni makini maana zinatuponza hasa kwa watu wanaotongozana maana saa ingine hobie inaweza kumvutia mwenzako na mkianza mahusiano akikuta huna lolote lazima mtatofautiana. Mfano mimi nilisema najua kuogelea kumbe sijui...kidogo nizame kwenye swimming pool.

Na kuna limtu lingine tuko nalo bar tunalewa kila siku lakini utasikia "aisee mimi roles model wangu ni TB Joshua"...jamani? au labda hatui maana yake.

Au Kijana anaonekana kabisa ni mayala alafu anasema roles model wake ni baba au mama yake....mnawazalilisha hawa wazazi. Kwani mkikaa kimya kuta tatizo?
 
Ha ha ha nimeipenda hiyo ya TB Joshua..

Ngoja nimlipe konda nauli nitarudi
 
Mi hata sijui rolomodo wangu ni nani! Khaaa!! Sijui bikra maria?mmmmh ngachelewa!!
 
benteke mie role model wangu kikwete...sijui ntakuwa raisi
 
Last edited by a moderator:
This math test can predict your role model...
Try it without looking at the Answer!


Pick your Favourite No. from 1-9
Then Use that no.
Multiply by 3.
Add 3
Multiply with 3
You'll get a 2 digit number or a three digit number.
Add the digit



Scroll down...................




















Now with that No.
See Who Your ROLE MODEL is
from the List below :



1. Einstein
2. Nelson Mandela
3. Jacob Zuma
4. Tom Cruise
5. Bill Gates
6. Gandhi
7. Brad Pitt
8. Hitler
9. Nyani Ngabu
10. Barack Obama
 
mmmh kwanini

Hana makuu, ana akili nyingi..ni mtu mzuri sana. Alafu hashobokei mambo kijinga...siku zote yule mzee ni mkweli. Of course kama yeye na mimi pia ni mnywaji...kuvuta niliacha.
 
Hana makuu, ana akili nyingi..ni mtu mzuri sana. Alafu hashobokei mambo kijinga...siku zote yule mzee ni mkweli. Of course kama yeye na mimi pia ni mnywaji...kuvuta niliacha.

haha mie nimemkumbukia sekeseke la katiba mpya alivyogeukwa lakin yet hakurud nyuma.. kuvuta nini uliacha sigara .. ugoro... bangi
 
Back
Top Bottom