Roho ya uharibifu inavyoliharibu Taifa

Roho ya uharibifu inavyoliharibu Taifa

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,586
Reaction score
161,451
Kuna roho nyingi zinazofanya kazi. Kazi za kusonga Na kazi ya kubomoa. Kazi ya kupatanisha Na kazi ya kufarakanisha.
Roho ya uharibifu ni roho yenye nguvu sana. Itaharibu ndoa yako, gari yako, familia yako, kipato chako etc.
Roho ya uharibifu ndio inayoharibu uchumi wetu, ndio inayoharibu kipato chetu, inaharibu mfumo wetu wa elimu.
Kabla hatujaanza kumuombea rais ni lazima tuiombee roho ya uharibifu itutoke ili tuweze kuendelea.
Nyerere alisema ili nchi iendelee inahitaji watu, siasa safi, uongozi Bora Na ardhi.
Siasa yetu imeingiliwa Na roho ya uharibifu, watu wananunulika, wanasahau kuwa ni sisi tuliowachagua.
LEO wanaacha madaraka tuliyowakabidhi, tunaenda kwenye uchaguzi mwingine utao haribu pesa za nchi.
Ardhi yetu imeingiwa Na roho ya uharibifu. Sera zetu za ardhi ni kichefuchefu.
Uongozi Bora nao haupo, ni uharibifu Kila mahali
The usisahau kuwa mwenge ni laana Na ndio chanzo cha uharibifu.
Isaya 50:11
 
Vyeti feki roho ya uharibifu madini roho ya uharibifu bomoabomoa roho ya uharibifu traffic faini roho ya uharibifu meri ya magogoni - bagamoyo roho ya uharibifu kuzuia nyumba mwanza roho ya uharibifu kuzuia gharama ya matibabu ya lisu roho ya uharibifu
 
Vyeti feki roho ya uharibifu madini roho ya uharibifu bomoabomoa roho ya uharibifu traffic faini roho ya uharibifu meri ya magogoni - bagamoyo roho ya uharibifu kuzuia nyumba mwanza roho ya uharibifu kuzuia gharama ya matibabu ya lisu roho ya uharibifu
Tunahitaji maombi mazito
 
Vyeti feki roho ya uharibifu madini roho ya uharibifu bomoabomoa roho ya uharibifu traffic faini roho ya uharibifu meri ya magogoni - bagamoyo roho ya uharibifu kuzuia nyumba mwanza roho ya uharibifu kuzuia gharama ya matibabu ya lisu roho ya uharibifu
Tunahitaji maombi mazito
 
Mimi huwa najiuliza, japo sio kitu kizuri sana, siku akifa Makonda atazikwa kama Paulo Makonda au Daudi Bashite?
Kabisa na Askofu ataendesha ibada ya kuficha ukweli?
Ndugu zake watamlilia Paulo ama Daudi?
Msalaba wake kaburini utaandikwa nini?

Maswali magumu haya......kama ngumi ya Lugumi!
 
Kuna roho nyingi zinazofanya kazi. Kazi za kusonga Na kazi ya kubomoa. Kazi ya kupatanisha Na kazi ya kufarakanisha.
Roho ya uharibifu ni roho yenye nguvu sana. Itaharibu ndoa yako, gari yako, familia yako, kipato chako etc.
Roho ya uharibifu ndio inayoharibu uchumi wetu, ndio inayoharibu kipato chetu, inaharibu mfumo wetu wa elimu.
Kabla hatujaanza kumuombea rais ni lazima tuiombee roho ya uharibifu itutoke ili tuweze kuendelea.
Nyerere alisema ili nchi iendelee inahitaji watu, siasa safi, uongozi Bora Na ardhi.
Siasa yetu imeingiliwa Na roho ya uharibifu, watu wananunulika, wanasahau kuwa ni sisi tuliowachagua.
LEO wanaacha madaraka tuliyowakabidhi, tunaenda kwenye uchaguzi mwingine utao haribu pesa za nchi.
Ardhi yetu imeingiwa Na roho ya uharibifu. Sera zetu za ardhi ni kichefuchefu.
Uongozi Bora nao haupo, ni uharibifu Kila mahali
The usisahau kuwa mwenge ni laana Na ndio chanzo cha uharibifu.
Isaya 50:11

Kuna mtu kaingia na hiyo ya uharibifu na amekuwa nayo toka siku nyingi;

Mambo ya nyakati 2:14"Ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao. "
 
Kuna roho nyingi zinazofanya kazi. Kazi za kusonga Na kazi ya kubomoa. Kazi ya kupatanisha Na kazi ya kufarakanisha.
Roho ya uharibifu ni roho yenye nguvu sana. Itaharibu ndoa yako, gari yako, familia yako, kipato chako etc.
Roho ya uharibifu ndio inayoharibu uchumi wetu, ndio inayoharibu kipato chetu, inaharibu mfumo wetu wa elimu.
Kabla hatujaanza kumuombea rais ni lazima tuiombee roho ya uharibifu itutoke ili tuweze kuendelea.
Nyerere alisema ili nchi iendelee inahitaji watu, siasa safi, uongozi Bora Na ardhi.
Siasa yetu imeingiliwa Na roho ya uharibifu, watu wananunulika, wanasahau kuwa ni sisi tuliowachagua.
LEO wanaacha madaraka tuliyowakabidhi, tunaenda kwenye uchaguzi mwingine utao haribu pesa za nchi.
Ardhi yetu imeingiwa Na roho ya uharibifu. Sera zetu za ardhi ni kichefuchefu.
Uongozi Bora nao haupo, ni uharibifu Kila mahali
The usisahau kuwa mwenge ni laana Na ndio chanzo cha uharibifu.
Isaya 50:11
Nimekuelewa sana Bujibuji
 
Back
Top Bottom