Masoud Mwakoba
Senior Member
- Dec 21, 2012
- 129
- 19
Asilimia 90 ya watu wenye roho mbaya husababishwa na vyakula,hapa nina maana kwamba watu wengi wenye roho mbaya ni kwa sababu chakula kwao wanaona ni kitu cha maana zaidi kuliko kitu kingine chochote!
Hii imekaaje wadau?
Hii imekaaje wadau?