Hupaswi kuwa na Career wala academic goals. Inapaswa kuandaa malengo ambayo yatafanya maisha yawe na mlinganyo sahili, mathalan afya yako ya mwili, mahusiano, na kuhakikisha afya yako ya kiakili ipo sawa. Hakuna siku utapata kombe kwa kuwa na mahusiano yaliyo na utapiamlo simply kwa kuwa malengo yako yalikuwa kwenye kumiliki material things. Don't take life too seriously,as we are really temporary here.
Duniani tumekuja kutalii tu na kuondoka , sana sana tukiwa na bahati we may last another 50 years kutoka sasa na kama ujuavyo mwezi mmoja una weekend 4 hivyo kuufanya mwaka mzima kuwa na weekend 48. Hivyo basi kwa muktadha huo ikiwa utajaaliwa miaka mingine 50 ni sawa na weekends 2400. Do we really need toget so worked up?....Ni sawa!
Unapaswa kuwa na elimu ya maarifa, kujipa likizo kwenye jambo lolote unalofanya, kupenda,kuwa na mitafaruku kidogo kwenye mahusiano, ...it's ok!
Usiwe serious sana kwenye maisha, kama maisha yanakuletea mapozi achana nayo fanya mambo mengine yaliyo ndani ya uwezo wako ili ufurahie kila moment as it comes.