Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Ndugu zangu hatimaye nimetimiza miaka 35.
Kila nikijiangalia sioni kitu cha kimaendeleo au jambo la kimaendeleo nililolifanya ambalo ninaweza kujivunia mbele ya watu
Historia pekee iliyobakia ninayoweza kuisema ni enzi hizo shuleni nilikuwa nafanya vizuri na chuoni kufanya vyema lakini mpaka sasa sina maendeleo yeyote yale, nimekwama sijui naelekea wapi.
Ila ndo hivyo wadau.
Kila nikijiangalia sioni kitu cha kimaendeleo au jambo la kimaendeleo nililolifanya ambalo ninaweza kujivunia mbele ya watu
Historia pekee iliyobakia ninayoweza kuisema ni enzi hizo shuleni nilikuwa nafanya vizuri na chuoni kufanya vyema lakini mpaka sasa sina maendeleo yeyote yale, nimekwama sijui naelekea wapi.
Ila ndo hivyo wadau.