wengine wanapenda kujifanya kondoo wakati ni chui ... hapo likifumuka jamaa ataona mshikaji noma anamzunguka mkewe kumbe mwanamke ndo mjingakuna wanawake wana michezo ya hatari...duh. yani jamaa anamchapa halafu anamuweka karibu na mumewe
Kigarama bojo bojo,unahitaji kweli jibu hapa?Nilikutana na Binti mmoja pale Mlimani City na kuanzisha naye mahusiano ya kawaida lakini baadaye akawa mpenzi wangu. Lakini baadaye yule binti akanieleza kuwa ameolewa na anaishi na Mume wake pale River Side na wote ni walokole wa kwa mzee wa upako.
Siku mmoja alinialika kwake kwenye sherehe ya Graduation ya Wifi yake anayemaliza Form Four Mwaka huu. Tangu hapo mume wake amekuwa Rafiki yangu wa karibu mno na tunataraji kufanya biashara ya pamoja kuagiza bidhaa za vyakula kutoka mikoani.
Tatizo langu ni kwamba Binti kwa kweli ana mvuto lakini kwa upande mwingine najiona siwezi kumsaliti mumewe ambaye ni rafiki yangu mpya.
Sijielewi nifanyeje!?
Nilikutana na Binti mmoja pale Mlimani City na kuanzisha naye mahusiano ya kawaida lakini baadaye akawa mpenzi wangu. Lakini baadaye yule binti akanieleza kuwa ameolewa na anaishi na Mume wake pale River Side na wote ni walokole wa kwa mzee wa upako.
Siku mmoja alinialika kwake kwenye sherehe ya Graduation ya Wifi yake anayemaliza Form Four Mwaka huu. Tangu hapo mume wake amekuwa Rafiki yangu wa karibu mno na tunataraji kufanya biashara ya pamoja kuagiza bidhaa za vyakula kutoka mikoani.
Tatizo langu ni kwamba Binti kwa kweli ana mvuto lakini kwa upande mwingine najiona siwezi kumsaliti mumewe ambaye ni rafiki yangu mpya.
Sijielewi nifanyeje!?
Jaaaah!!! jibu unalo mwenyewe kwenye "heading" Roho inakusuta...Nilikutana na Binti mmoja pale Mlimani City na kuanzisha naye mahusiano ya kawaida lakini baadaye akawa mpenzi wangu. Lakini baadaye yule binti akanieleza kuwa ameolewa na anaishi na Mume wake pale River Side na wote ni walokole wa kwa mzee wa upako.
Siku mmoja alinialika kwake kwenye sherehe ya Graduation ya Wifi yake anayemaliza Form Four Mwaka huu. Tangu hapo mume wake amekuwa Rafiki yangu wa karibu mno na tunataraji kufanya biashara ya pamoja kuagiza bidhaa za vyakula kutoka mikoani.
Tatizo langu ni kwamba Binti kwa kweli ana mvuto lakini kwa upande mwingine najiona siwezi kumsaliti mumewe ambaye ni rafiki yangu mpya.
Sijielewi nifanyeje!?