Roho imeniuma sana

Roho imeniuma sana

Ninampenz wangu tuna muda kama miez 6 hv..
Jana aliniita kwake kua anaumwa ajisikii poa nami nikaenda kwake kama kumuona kufika kumbe mtu mzima tu et nilitaka nijue kama unanipenda
Sababu mda ulikua umeenda nikaamua kulala kwake
Kilichoniuma tumelala asubuh kaamka kaenda kazini mi naamka hajaniachia hata nauli sijakaa kama dakika 20 hv akarudi alisahau kitu mi sikuambia kitu nikafikiria labda alisahau kama binadam au alikua ninayo,,,kumbe aliacha 500 mezan akairudia akaichukua
Nimeamka sina nauli kibaya nikwamba alivyonishtua anaumwa hata poch niliacha nyumban....
Wapendwa nimeumia sana maana nimehangaika nimemtumia msg my sina nauli...kakaa kimya hajajibu mpaka sasa hv nilichokifanya nikamwambia rafik yangu akanitumia...
Moyo umeniuma sana kwel kwa mtu unaempenda kwel unamfanyia hivyo.. Wht if nisingepata mtu wakumitumia
Pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tayari umefeli intavyuu hatua ya kwanza kabisa... Sidhani kama ndoa utaiweza

Yaani unaenda kumsabahi mgonjwa ukiwa unamtegemea kwa nauli!!? Hata hiyo pochi I bet uliiacha makusudi, hukuisahau...

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
 
WE DADA NI ZEZETA.. UNAKWENDA KUMWONA MGONJWA NA POCHI UNAACHA ILA UNAKUMBUKA KUBEBA NAULI YA KWENDA?

HII STORY YA KUIGIZA

HUWEZ KWENDA KUMWONA MGONJWA NAULI UKIMTEGEMEA YEYE

LABDA UWE MUWAZ KUWA KALA TUNDA HAJAKULIPA
 
Pole sana...

Mvumilie... Labda hana kitu...

Akipata atakupa... Anakupima ajue kama wewe ni wife material...


Cc: mahondaw
 
Na kama mgonjwa angekufa ungepataje hiyo nauli!!!?

Sent from my TV
 
Nauli tu hauna, hata iyo 500 kwenye mpesa hauna, basi we ni mzigo kwa huyo jamaa.
 
Pole mama pita ,,we pita tu..
The world is not fair.

" Dume LA nyani haliogopi Umande"
 
Hakuna mwanaume hapo! Piga chini uangalie ustaarabu wako. Mtu unamwambia huna nauli lakini anakupotezea na papuchi umempa.

Ninampenz wangu tuna muda kama miez 6 hv..
Jana aliniita kwake kua anaumwa ajisikii poa nami nikaenda kwake kama kumuona kufika kumbe mtu mzima tu et nilitaka nijue kama unanipenda
Sababu mda ulikua umeenda nikaamua kulala kwake
Kilichoniuma tumelala asubuh kaamka kaenda kazini mi naamka hajaniachia hata nauli sijakaa kama dakika 20 hv akarudi alisahau kitu mi sikuambia kitu nikafikiria labda alisahau kama binadam au alikua ninayo,,,kumbe aliacha 500 mezan akairudia akaichukua
Nimeamka sina nauli kibaya nikwamba alivyonishtua anaumwa hata poch niliacha nyumban....
Wapendwa nimeumia sana maana nimehangaika nimemtumia msg my sina nauli...kakaa kimya hajajibu mpaka sasa hv nilichokifanya nikamwambia rafik yangu akanitumia...
Moyo umeniuma sana kwel kwa mtu unaempenda kwel unamfanyia hivyo.. Wht if nisingepata mtu wakumitumia
 
Ninampenz wangu tuna muda kama miez 6 hv..
Jana aliniita kwake kua anaumwa ajisikii poa nami nikaenda kwake kama kumuona kufika kumbe mtu mzima tu et nilitaka nijue kama unanipenda
Sababu mda ulikua umeenda nikaamua kulala kwake
Kilichoniuma tumelala asubuh kaamka kaenda kazini mi naamka hajaniachia hata nauli sijakaa kama dakika 20 hv akarudi alisahau kitu mi sikuambia kitu nikafikiria labda alisahau kama binadam au alikua ninayo,,,kumbe aliacha 500 mezan akairudia akaichukua
Nimeamka sina nauli kibaya nikwamba alivyonishtua anaumwa hata poch niliacha nyumban....
Wapendwa nimeumia sana maana nimehangaika nimemtumia msg my sina nauli...kakaa kimya hajajibu mpaka sasa hv nilichokifanya nikamwambia rafik yangu akanitumia...
Moyo umeniuma sana kwel kwa mtu unaempenda kwel unamfanyia hivyo.. Wht if nisingepata mtu wakumitumia
Usingepata mtu wa kukutumia hata mimi ningekutumia...

Siku ingine usiangaike na rafiki yako nitafute tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nimekuwa mgumu kuelewa hiki kisa kwa kweli.

Sasa ulienda kwa mgonjwa ukitegemea angekuwa nauli ya kurudi baada ya kumsabahi?!
 
Back
Top Bottom