Rogath John Stephen Akhwari Rais Mpya RT

Rogath John Stephen Akhwari Rais Mpya RT

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
431
Reaction score
433
ed0d1f45-acbe-402c-8ba8-0f258d4fcec6.jpeg


Kocha Rogath John Stephen Akhwari Ashinda urais wa shirikisho la riadha Tanzania -RT kwa kura 27 na kumbwaga mpinzani wake Nsolo Malongo Mlozi aliyepata kura 20.

Mpinzani wake baada ya kushindwa aliandika hivi kwenye mitandao ya kijamii

" Kura hazikutosha kushinda, nimeshika nafasi ya 2 (kura 20). Mshindi ni Rogath John (kura 27) baada ya kurudiwa mzunguko wa 2 kikatiba. Namshukuru Mungu na kheri kwa washindi. Shukrani pia kwa wajumbe" alisema Nsolo Mlozi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom