Rockstar Games Vs EA Games....!!!!

Rockstar Games Vs EA Games....!!!!

Rockstar wamefanya vizuri kwenye story mode ya San Andreas, GTA 4 is ----...
EA are legends, Both in Racing, FootBall and Missions.
 
IGI Project zimetengezwa na kampuni gani? I love igi I zaidi II.
 
Sure Poul, Then kama gta anaweza kucheza mtu anaependa aina yoyote ya games, iwe race games, war games etc nadhani ndio maana gta ni kati ka ya gemu zilizochezwa zaidi .

Aina yoyote? Kama unapenda soccer games au za basket ball? Pia ujue tofaut ya racing ya need for speed na racing ya gta ni kwamba gta ile sio racing but just a driving... Hakuna hata drifting then hainaga msisimkoooo!! Ukija action mtu anaecheza brothers in arms the art of war akicheza gta hata hisi kama zile n action!!!!!!
 
samahani nimetoka nje ya mada
kuna game series za agent 47 au hitman ni balaa!you have to try this!
 
Vip kuhusu Gameloft? Mi naona wako poa zaidi kuliko hao wengine
 
M nawapenda Rockstar koz wanajua wanachokfanya na vlevle Rockstar n publisher na bado n developer pia so wanaweza wakajua watu kwa sasa wanataka nini na hawatak nini,
BUT
EA ni publisher tu.
 
Aina yoyote? Kama unapenda soccer games au za basket ball? Pia ujue tofaut ya racing ya need for speed na racing ya gta ni kwamba gta ile sio racing but just a driving... Hakuna hata drifting then hainaga msisimkoooo!! Ukija action mtu anaecheza brothers in arms the art of war akicheza gta hata hisi kama zile n action!!!!!!

Mkuu GTA ni game yenye scripts huru sana kama maisha yetu ya kawaida ingawa ipo kigame game zaidi
GTA ni game inayochezwa na watu wengi zaidi duniani kwasababu tu ni huru, kama unapenda driving unaweza endesha almost chochote kuanzia basikeli hadi ndege, unaweza kucheza game ndani ya game, shooting,swiming and a lot of stuff

Hii ni tofauti na fifa au nsf

Sim za EA zinasubiri sana kwa gta na hizi angalau unaweza kulinganisha na gta

Gta sio game mahususi kwa vita kama brothers in arms nk, gta inajaribu kureflect real life ya kitaa, kupigana kuibiana ubabe kufukuzana na polisi nk

Ni ngumu sana kulinganisha hizi kampuni mbili maana game zao haziendani
Kwa maana ya grafix ea wapo vizuri zaidi kuliko rockstar na hii ni kwasababu rockstar wanajaribu sana kuminimize req zao kukidhi matakwa ya vi pc ili watu wengi wenye pc waweze kizicheza
 
Hapo Sina upande..rockstar naipenda gta v... halafu EA naipenda need for speed.....
 
walotengeneza hizi games ndio salute kwao;
-call of duty
-battlefield
-far cry
-splinter cell
-metal gear
 
Much respect to RockStar Games.
Rockstar-Games.jpg
 
Mkuu GTA ni game yenye scripts huru sana kama maisha yetu ya kawaida ingawa ipo kigame game zaidi
GTA ni game inayochezwa na watu wengi zaidi duniani kwasababu tu ni huru, kama unapenda driving unaweza endesha almost chochote kuanzia basikeli hadi ndege, unaweza kucheza game ndani ya game, shooting,swiming and a lot of stuff

Hii ni tofauti na fifa au nsf

Sim za EA zinasubiri sana kwa gta na hizi angalau unaweza kulinganisha na gta

Gta sio game mahususi kwa vita kama brothers in arms nk, gta inajaribu kureflect real life ya kitaa, kupigana kuibiana ubabe kufukuzana na polisi nk

Ni ngumu sana kulinganisha hizi kampuni mbili maana game zao haziendani
Kwa maana ya grafix ea wapo vizuri zaidi kuliko rockstar na hii ni kwasababu rockstar wanajaribu sana kuminimize req zao kukidhi matakwa ya vi pc ili watu wengi wenye pc waweze kizicheza

Uchambuzi mZuri mkuu..

Maana mimi pia nina GTA ina 700mb tu na nacheza ila fifa uinstall tu lazima min space iwe gb kama 6 iyo ni fifa14 bado hiyo fifa15 kwenye vi pentium haichezi hadi mashine za core i_
 
Uchambuzi mZuri mkuu..

Maana mimi pia nina GTA ina 700mb tu na nacheza ila fifa uinstall tu lazima min space iwe gb kama 6 iyo ni fifa14 bado hiyo fifa15 kwenye vi pentium haichezi hadi mashine za core i_
una gta la zamani mkuu hilo,

gta V liki2a full ni GB 50 ukitafuta ambalo ni repack labda kama GB 30 hivi.
 
una gta la zamani mkuu hilo,

gta V liki2a full ni GB 50 ukitafuta ambalo ni repack labda kama GB 30 hivi.

Ni sahihi, GTA V Bado sijalichezaga. Pia nalo itakua inahitaji mashine kubwa naona
 
Mndengereko nimekuadd kwenye need for speed world lakini nimeambiwa hiyo user name haipo

Hadi most wanted ipo?? Maana blacklisted wote wa game nilishachakaza natafuta real world blacklist haha
 
Mkuu linapokuja swala la simulation GTA wana wapo free zaidi na wana script bora na huru.
Sims series huwezi kuilinganisha na GTA series

Post ya long duuh!!
Ila vipi wakina euro&american truck nani wanatengeneza?
 
Back
Top Bottom