siwapati hao jama. ila hilo solo limeimba vilivyo. kuna huyu jamaa wa U2 anaitwa the edge. wapiga gitaa humvulia kofia.
Mumford and sons wapo fresh sana.@JosephNyaga
Kaka U2 wanaisha sana nimewasikiliza sana home japo kwangu Jimi Hendrix, Eric Clapton, B.B King (R.I.P) na Mark Knopfler ni Legends hadi Santana alisema. Tafuta discography zao ujionee mwenyewe.
kuna watu wana talents. Hendrix mara nyingi ana top lists za best guitarists. alifanya kazi miaka 3 tu 27 - 30 akafa.