Buyaka
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 1,643
- 1,786
Muda wa maongezi kuanzia mida ya saa kumi na moja jioni naona ni mfupi sana ukilinganisha na kabla ya hapo kwa salio lile lile.
Kwa vile sijapima na stopwatch sina uhakika wa kusema wanachakachua au la. Niwaulize wenzangu watumiao mtandao wa TIGO, hili tangazo lao la robo shilingi kwa sekunda masaa 24 baada ya dakika ya kwanza ni kweli?
Kwa vile sijapima na stopwatch sina uhakika wa kusema wanachakachua au la. Niwaulize wenzangu watumiao mtandao wa TIGO, hili tangazo lao la robo shilingi kwa sekunda masaa 24 baada ya dakika ya kwanza ni kweli?