Robert Mugabe: Raila Odinga akikanyaga Zimbabwe nitamkamata na kumhasi

Robert Mugabe: Raila Odinga akikanyaga Zimbabwe nitamkamata na kumhasi

Status
Not open for further replies.
Rais ukishindwa kujenga Taasisi imara, matokeo yake utatafuta mchawi hata nje ya nchi? Haya ndio aliyoyata huyu rais, mwache akose usingizi, ila sidhani kama anakosaga usingizi maana hata akiwa kwenye hafla fulani tunamwonaga akilala wakati shughuli ikiendelea!
 
Hili zee nalo linazeeka vibaya linaishi kwahofu na mashaka linawaza kupinduliwa
 
Bi kweli,, Raila na Magufuli ni marafiki wakubwa, hata kuapishwa Magufuli Raila alikuwepo
 
Kashindwa kujiweka mwenyewe ndo aweke wenzake? This is absolute c.rap
 
Kwa Tanzania Magufuli siyo chaguo la watz.amepatia

ww sema sio chaguo lako kuna wenzako wa chadema kama lowasa,mbowe na akina mdee hao wote walimpigia kura magufuli. Usizisemee nafsi za wenzako
 
Kwa Tanzania sawa, lakini naye aachie ngazi kikongwe huyu
Naomba uelezee kweli wa hili!
Hahahahahahaa hili la Tanzania liko wazi.... ila pia nadhani hawa wawili wana ugomvi wao binafsi. Labda Raila anataka ampore Babu demu wake
Wazi?
Kwa Tanzania Magufuli siyo chaguo la watz.amepatia
Mapenzi yako usiamishie kwa watu wengine, wewe sio msemaji wa Watanzania una hakika na kura iliyopigwa na kila mtu?
 
Mugabe is getting old at a speed of light ,he doesn't know what is happening now.His thinking capacity have deteriorated to 30% then i cant trust him anymore:shock::shock::shock:
 
Ina maana JPM chaguo la Raila na siyo chaguo la watanzania? Lumumba mmemsikia babu Bob?
 
Ukilewa unawezakujikuta unaropoka usichokifikiria, mzee kalewa umri, maradhi na madaraka. Ukiangalia hata alipokuwa India kwenye summit aligeuka kituko sishangai kwa maneno hayo.

Kibaya zaidi wapiga dili wote wa Zimbabwe wanapigania kibabu kibaki madarakani Ili wale bila kelele. Nina mashaka ipo siku katadondoka jukwaani mazima.
 
ww sema sio chaguo lako kuna wenzako wa chadema kama lowasa,mbowe na akina mdee hao wote walimpigia kura magufuli. Usizisemee nafsi za wenzako

Mbona wewe unazisemea za wenzako ? Umeyajua vipi hayo wakati kura zilikuwa za siri?
 
Kwa Tanzania Magufuli siyo chaguo la watz.amepatia

Sema sio chaguo lako, usifikiri kila mtanzania anaendeshwa kwa hisia kama wewe, kila unachoambiwa na akina Mbowe unakubali kubali tuu. Tumia akili angalau hata kwa asilimia 5% kung'amua mambo. Usiwe kasuku wewe.
 
Raila alishindwa kujiweka madarakani mwenyewe ndio awaweke marais wengine madarakani! Raila katokea kuwa rafiki na watu waliotokea kuwa marais basi. Mugabe kazeeka sana uwezo wa kufikiri umepungua
 
ww sema sio chaguo lako kuna wenzako wa chadema kama lowasa,mbowe na akina mdee hao wote walimpigia kura magufuli. Usizisemee nafsi za wenzako

we ---- kweli unakataza unalolitenda hata sekende hazijaisha...
 
Mugabe ana hangaika tu urais anaufanya kama ufalme Mara amfukuze makamu wake wa rais Mara mkuu wa majeshi, Mugabe mgonjwa wa akili.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom