Road Safety: Stika za Nenda kwa Usalama ni wizi, tuungane kuupinga

hivi sticker hiyo itauzima moto?! Maana wanaiulizia sticker zaidi rather than fire-extinguisher!
 
Sijaelewa kidogo hapa WAKUU, kwa hiyo mtu natakiwa awe ana sticker ya fire pamoja na ya week ya kwenda kwa usalama? Au ukishapewa hiyo sticker ya fire inatosha? na zinapatikana wapi? mwenye maelezo ya uhakika msaada please!
 
Sijaelewa kidogo hapa WAKUU, kwa hiyo mtu natakiwa awe ana sticker ya fire pamoja na ya week ya kwenda kwa usalama? Au ukishapewa hiyo sticker ya fire inatosha? na zinapatikana wapi? mwenye maelezo ya uhakika msaada please!

ndugu yangu.....sticker ya fire uwe nayo....ya usalama mubarabara uwe nayo....road licence uwe nayo.....insurance uwe nayo....zebra cross uwe nayo....fuel pump iwepo sticker yake.....na ya mwisho mwendo kasi sticker.....
 
ndugu yangu.....sticker ya fire uwe nayo....ya usalama mubarabara uwe nayo....road licence uwe nayo.....insurance uwe nayo....zebra cross uwe nayo....fuel pump iwepo sticker yake.....na ya mwisho mwendo kasi sticker.....

hahahaha umenichekesha kweli mwishowe watakuwa wanauliza sticker ya mafuta uliyonunulia kama hayajachakachuliwa, sticker ya AC kama inafanya kazi sababu joto limeanza Dar, risiti ya lessen kama ulikata pale my fair au ya pale kijiweni kwa baaresa, kama huna tunakujeri muroo
 
wakuu me nashangaa siku hizi ukilipa road licence, unalipia na fire lakini hupewi stika ya fire, sijui jambo hilo lipoje
 
Wakuu,

Naombeni msaada kuelimishwa; je, is it a traffic offense kutokuwa na stika ya wiki ya nenda kwa usalama kwenye gari yako?
Jana, traffic polisi amenisimamisha na kunipa notification kwamba nimevunja sheria kwa kutokuwa na hiyo stika.

Kwenye notification amequote nature of offense as no. 23 kwenye notification, ambayo inasema ni "failing to comply with road traffic, na pia ina quote Section 113 ( Nadhani hii ni ya Road Traffic Act).

Nimesoma hiyo section 113, lakini sioni popote panapotaja stika za wiki ya usalama barabarani.

Naomba msaada kwa anayejua kama hilo ni kosa na lipo kwenye kifungu kipi cha sheria ipi. Jamaa wamenipiga faini ya Tshs 30,000/= !!

Natanguliza shukurani
 
Wana JF,
Ni mara yangu ya kuingia hapa Jamvini, nabisha hodi.

Leo nikiwa njiani kwenda kazini kwangu nimesimamishwa na askari wa usalama barabarani mara nne, na wote walikuwa wanalikagua gari. Wa. Kwanza aliangalia tu bima na motor vehicle akaniruhusu kuondoka, wa alinisimamisha km 4 mbele. Akaniuliza kama gari ni zima, nikamjibu liko zima, akenda kuangalia bima na motor vehicle akaniruhusu. Wa tatu alinisimamisha baada ya. Km chache mbele, huyu akaniambia weka hazard, nikaweka akaenda nyuma ya gari, the akaja akasema weka reverse gia, nikaeka, akenda nyuma ya gari akaja akasema nipe kadi ya gari, nikampa, akasema lete lesenii, nikampa. Mwisho hasira ikaanza kunijia maana kila ninachompa harudishi. Akanimbia nipe kifaa cha kuzimia moto, ndipo nikamwambia nipe list ya vitu unavyovitaka nikupe badala ya kunichelewesha. Akasema mbona una kauli mbaya wewe. Nikamwuliza kauli mbaya anamaanisha nini. Mwishowe nilijikuta akiniuliza vitu vingi. Baada ya kuona amekosa kosa akaniambia una kosa la kuendesha gari na open shoes. Tukabishana akaniachia. Wakati narudi nyumbani nilikaguliwa tena.

Hoja yangu ni kuwa kwa nini hawa ndugu wasiwe na stika wakishakukagua wakuwee ili kuwaonyesha walio mbele kwamba umeshakaguliwa. Usumbufu ni mkubwa ndugu zangu. Na wanakutafuta makosa,

Nisaidieni
 
Stika ni mwanya mwingine wa rushwa huo. Kuna gari ambazo hazijawhi kukanyaga bara bara kwa miaka mitano iliyopita. Ukienda na namba za hayo magari, trafic wanakupa stika ya usalama barabrani.
 
Pole sana hii ndiyo karaha ya nchi yetu, tena mara nyingine akikosa kosa anakupiga mzinga, unajua leo sijapata chai...ukiangalia hilo tumbo; mbaya zaidi hawa ni matajiri wana magari ya biashara, nyumba lakini ukishakuwa polisi wewe ni ombaomba maishani mwako hata kama ni tajiri lakini kama uko barabarani kazi ni kuomba tu. RTO wa Arusha ndiye polisi clean niliyewahi kukutana naye, una kosa mara moja faini na ukicheza unawekwa rumande haombi hata senti moja yako lakini huku mikoani ni matatizo


Wana JF,
Ni mara yangu ya kuingia hapa Jamvini, nabisha hodi.

Leo nikiwa njiani kwenda kazini kwangu nimesimamishwa na askari wa usalama barabarani mara nne, na wote walikuwa wanalikagua gari. Wa. Kwanza aliangalia tu bima na motor vehicle akaniruhusu kuondoka, wa alinisimamisha km 4 mbele. Akaniuliza kama gari ni zima, nikamjibu liko zima, akenda kuangalia bima na motor vehicle akaniruhusu. Wa tatu alinisimamisha baada ya. Km chache mbele, huyu akaniambia weka hazard, nikaweka akaenda nyuma ya gari, the akaja akasema weka reverse gia, nikaeka, akenda nyuma ya gari akaja akasema nipe kadi ya gari, nikampa, akasema lete lesenii, nikampa. Mwisho hasira ikaanza kunijia maana kila ninachompa harudishi. Akanimbia nipe kifaa cha kuzimia moto, ndipo nikamwambia nipe list ya vitu unavyovitaka nikupe badala ya kunichelewesha. Akasema mbona una kauli mbaya wewe. Nikamwuliza kauli mbaya anamaanisha nini. Mwishowe nilijikuta akiniuliza vitu vingi. Baada ya kuona amekosa kosa akaniambia una kosa la kuendesha gari na open shoes. Tukabishana akaniachia. Wakati narudi nyumbani nilikaguliwa tena.

Hoja yangu ni kuwa kwa nini hawa ndugu wasiwe na stika wakishakukagua wakuwee ili kuwaonyesha walio mbele kwamba umeshakaguliwa. Usumbufu ni mkubwa ndugu zangu. Na wanakutafuta makosa,

Nisaidieni
 
Pole sana hii ndiyo karaha ya nchi yetu, tena mara nyingine akikosa kosa anakupiga mzinga, unajua leo sijapata chai...ukiangalia hilo tumbo; mbaya zaidi hawa ni matajiri wana magari ya biashara, nyumba lakini ukishakuwa polisi wewe ni ombaomba maishani mwako hata kama ni tajiri lakini kama uko barabarani kazi ni kuomba tu. RTO wa Arusha ndiye polisi clean niliyewahi kukutana naye, una kosa mara moja faini na ukicheza unawekwa rumande haombi hata senti moja yako lakini huku mikoani ni matatizo


Mkuu wewe labda umepita tu Arusha, au labda sio huyo aliyewaambia trafiki wamletee magari ya Utalii akasahau kwamba waajiri wake wana mkono kwenye hayo magari!

Most important thing cha ku-adviocate ni kwamba trafiki mmoja akikagua atoe karatasi ili ukipita kwingine sio tena unasimamishwa kuanza kupigwa nyundo za chai n.k!
 
Hapa Arusha KUNA TRAFFIC ana daladala zaidi ya tano zinaenda Usa, zimeandikwa NDESSA, kuna dada Traffic anaitwa Anna anna NOAH zaidi ya nne zinaenda Namanga,,shangaa Mshahara wao ni Laki mbili kwa mwezi!
 
Hapa Arusha KUNA TRAFFIC ana daladala zaidi ya tano zinaenda Usa, zimeandikwa NDESSA, kuna dada Traffic anaitwa Anna anna NOAH zaidi ya nne zinaenda Namanga,,shangaa Mshahara wao ni Laki mbili kwa mwezi!

Mkuu kwanza ndessa ni polisi wa kawaida walishamtoa barabarani pili pale kunayo magari ya matrafik watatu ukitaka details zao ni pm
 
Hao Matrafffic kazi inayowafaa ni kuongoza magari tu kwenye junction na sio kukamata na kukagua Magari naona wamekubuhu kwa Rushwa hivi wale Takukuru wamewashindwa kweli? na majitu yanachukua rushwa wazi wazi hivi vyombo vingine sijui ni vya kazi gani vimeundwa....na sikuhizi wanatumia tigo pesa sana wakishazikusanya wanazirusha fasta ukienda kuwa search huwakuti na kitu
 
Arusha kuna trafiki polisi kuliko Magari yaliopo kila baada ya km 2 trafik polisi kila kona trafik polisi...ni Kero sijawahi Ona kwa safari moja wasema simamishwa na trafik polisi 4-7 na kupotezewa Muda kipumbavu....

Na nimesikia lipo agizo la RTO la kila Askari kuleta faini 20 za makosa kila siku siku za operation... Hapo ndugu yangu hata Kama una mkwaruzo tu kwenye gari yako lazima ulipie faini.. Basi ni Kero tupu..

Kwa boda boda ndio usiseme hataandikiwa hujavaa helmet hata kama umepaki....

Sina uhakika Kama faini hizi zinafika hazina maana nyingi unaishia kulipia against fine notification na Sio government Risiti ....

Tz kazi tunayo...
 
Wana JF, kweli imeshindikana kunisaidia kuhusu hii kitu jamani?
Wanasheria tafadhalini tusaidie kwenye hili. Najua wengi wangependa kujua ni kwa sheria gani huwa tunasimamishwa na kuulizwa hizi "stika" za wiki ya nenda kwa usalama.

Natanguliza shukurani.
 
Back
Top Bottom