kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,315
- 12,614
Wacha kodi ukusanywe nyie daini huduma bora ya kodi zenu tu baasimbona ewura tunawalipa kwa kila lita na hujalalamika..hizo mashine na generator ewura wanahusoka naz???!!...huu mfumo ni mzuri kwa nchi nyingi sana na uko poa tu...achen mawazo ya kimaskini...