Riwaya ya Rosa Mistika

Riwaya ya Rosa Mistika

IMG_1446.JPG
IMG_1447.JPG
IMG_1448.JPG
IMG_1449.JPG
IMG_1450.JPG
IMG_1451.JPG
IMG_1452.JPG
IMG_1453.JPG
IMG_1454.JPG
IMG_1458.JPG
 
Hiki kitabu sikuwahi kukisoma, ila majuzi nilikutana na mtu flan wa Bakita tukapiga story moja mbili za waandishi wetu, ndio nikaambiwa hiki kitabu kilipewa jina flan la kilatini (Rosa Mystica) ikimaanisha Mystical Rose au kwa Kiswahili ni waridi lenye fumbo. Kwa ufupi prof huyu aligusia kidogo nyumbani anakotokea ila mapana alilenga kukosoa uongozi wa wamisionari waliokuwa wanasimamia chuo ambacho yeye alikuwa anasoma /kufanya kazi hapo Morogoro.
 
Hiki kitabu sikuwahi kukisoma, ila majuzi nilikutana na mtu flan wa Bakita tukapiga story moja mbili za waandishi wetu, ndio nikaambiwa hiki kitabu kilipewa jina flan la kilatini (Rosa Mystica) ikimaanisha Mystical Rose au kwa Kiswahili ni waridi lenye fumbo. Kwa ufupi prof huyu aligusia kidogo nyumbani anakotokea ila mapana alilenga kukosoa uongozi wa wamisionari waliokuwa wanasimamia chuo ambacho yeye alikuwa anasoma /kufanya kazi hapo Morogoro.

RIP Prof Kezilahabi
 
Back
Top Bottom