The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 381
Njoo mkuu tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Itaendelea kesho
Sent from my iPhone using Tapatalk
Sent using Jamii Forums mobile app
Itaendelea kesho
Sent from my iPhone using Tapatalk
ikiendelea unitag
Nasubiria feedback niendelee au?
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mkuu upo? Fanya umalize hii kitu.Itaendelea kesho
Hiki kitabu sikuwahi kukisoma, ila majuzi nilikutana na mtu flan wa Bakita tukapiga story moja mbili za waandishi wetu, ndio nikaambiwa hiki kitabu kilipewa jina flan la kilatini (Rosa Mystica) ikimaanisha Mystical Rose au kwa Kiswahili ni waridi lenye fumbo. Kwa ufupi prof huyu aligusia kidogo nyumbani anakotokea ila mapana alilenga kukosoa uongozi wa wamisionari waliokuwa wanasimamia chuo ambacho yeye alikuwa anasoma /kufanya kazi hapo Morogoro.
Mkuu upo? Fanya umalize hii kitu.
Tupo tunasubiri roseKumbe wadau mpoooo eeeh?