Riwaya: Sala ya Sarah

Riwaya: Sala ya Sarah

Hii story kama naangalia movie vilee yaani ipo vizuri sana bongo movie wako wapi kwenye story kama hizi
Hiyo script ni kuipeleka kwa Mkorea,Hollywood, Bollywood au Nollywood siyo bongo muvi mzee baba maana wataifanya iwe utumbo mtupu!!!
Zipo wapi zile filam za Joram Kiango si uliona walivyoharibu?
Yaani story Tamu kwenye fasihi andishi ikija kuwekwa kwa bongo muvi inakuwa Haina mvuto kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom