Riwaya nzito kutoka kwa Sifileo!

Riwaya nzito kutoka kwa Sifileo!

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
6,268
Reaction score
11,686
Kwa kipindi kirefu sjaweza andika lolote kupitia eneo ili;Marafiki zangu nina wakaribisha kununua RIWAYA AMBAYO NI UTUNZI WANGU MWENYEWE NDUGU SIFILEO!

JINA LA RIWAYA NI: SHIMO LA TAKA NDANI YA IKULU.

RIWAYA HII! Ni miongoni mwa andiko ambalo nimetumia ujuzi wangu wa kifasihi

Kuna visa vingi ambavyo rafiki yangu ukivisoma hutojutia kununua riwaya hii shimo la tata taka ndani ya ikulu!

Karbuni nyote siku si nyingi nitakismbaza kwenye bookshop karbu zote jijini Dar na nje ya Dar
 
Toa dondoo kwanza isije mtu akaona bora ......
Mwaga ata kisa kimoja hapa
 
Back
Top Bottom