wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,173
- 1,127
Sio mbaya tuko hapaKwa wale wapenzi wa riwaya karibuni sana. Nikiwa mdau wa mambo hizi nimeona nishee moja ya riwaya ambayo nimeikuta mahali lakini sijaitunga mimi jamani niwe mkweli. Nimeona si vibaya tuka share starehe na utamu kama huu na wanajukwaa...!! Ipo mwanzo mwisho, hapana kuishia kanisani, No arosto..!!
NI SINDANO TU HADI MLEGEE MMWAGE UDENDA.... HAKUNAGA AROSTO PANDE HII
Mukuje na likes za kutosha etiii...!!!