Riwaya: Mkono Wa Chuma

Daaa huu ushakuwa mkono wa plastic sasa,, sio kwa arosto hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Habari mbaya iliyonijia ni kwamba Ray Charles ameishtukia njama ya mtunzi kutaka kumuua hivyo amempiga mkwara kwamba atadili naye iwapo ataendelea na mipango yake Michafu.

Mpaka sasa Bwawa yule amebaki njia panda kama aendelee na hila zake za kumteketeza Ray kwa Joto la gesi au aipeleke Riwaya kivingine kukwepa kisago.
 
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikute kesha mziraelisha kupeponi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…