Huu ni UWIZI wa kazi za sanaa za watanzania wenzetu..badala ya kuwasaidia kazi za sanaa zisonge mbele, tunazihujumu..
Nashangaa Mods wanauacha huu Uzi wakati limesharipotiwa.
Tuwaunge mkono waandishi wa Riwaya Tanzania, wanafanya kazi kubwa sana sasa katika kuinuka tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.