Boogman
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 2,525
- 5,751
Me nafukuza mwizi kimya kimya!mtu gani umemisika ujue
Me nafukuza mwizi kimya kimya!mtu gani umemisika ujue
Kumbe upoMe nafukuza mwizi kimya kimya!
Kizuri kula na nduguyo wee c uliona ukinambia ntakua Bonge km wwKumbe upo




Hatimae nimemaliza ntarudi kitonga ikikolea ila Monica kanishangaza kutuma taarifa jela kwa tony juu ya shambulio alafu asiijulishe serikali yake na tumeambiwa kuna ulinzi ulitoka marekani juu vile mke na mtoto wa prezdaa na raia wao kibao wapo kwa mkutano mmh najaribu kuwaza kwa sauti tu!![]()
Ntarejea koti la uvivu ntalivua pamoja tuelewane,kwaiyo ucjal mkuu ndg yng!Hivi Umeisoma Mwanzoni Vzr au Ulisahau ulikotoka
Heshima yko mkuuHivi Umeisoma Mwanzoni Vzr au Ulisahau ulikotoka
Jamaa unachangamsha sana yaani umenifurahisha leo.Ntarejea koti la uvivu ntalivua pamoja tuelewane,kwaiyo ucjal mkuu ndg yng!
Tupia mkuuRoho Inaniuma Mnavyo lalamika
Tuko pamoja kk!Jamaa unachangamsha sana yaani umenifurahisha leo.
Mkuu kwema,tufanyie mpango tupunguze arosto ishataitiRoho Inaniuma Mnavyo lalamika

Ila kuwa na arosto raha samtaimMkuu kwema,tufanyie mpango tupunguze arosto ishataiti![]()
![]()


ntasubiri ht mwakA ikiusha tu naanza kuisoma