Mkuu pole arosto za queen Monica zilinitosha sitaki tenaaaaaaaHatimae nimefikia pale arosto inapoanza


nasubiri iisheeeSent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pole arosto za queen Monica zilinitosha sitaki tenaaaaaaaHatimae nimefikia pale arosto inapoanza


nasubiri iisheee
Ndio utuwekee jaman mtuganiRoho Inaniuma Mnavyo lalamika
Ila kuwa na arosto raha samtaimntasubiri ht mwakA ikiusha tu naanza kuisoma
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa mkuu c wenzio tupo kwenye foleni hapaMkuu pole arosto za queen Monica zilinitosha sitaki tenaaaaaaanasubiri iisheee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshauri patrick asiwe na story nyingi zinapungua ubora wake, ni vyema akawa nazo 2-4 kwa mwaka zitakuwa bora zaidi kuliko kuwa na story 10 ambazo hazina uboraTAARIFA KWA UMA
Story yetu Pendwa (Bring back our girl)
Bado iko Mikononi mwa Mtunzi wetu kwa maana bado inaandaliwa
Hivyo nawaomba muwe na Subra Week ijayo tutaanza tena kuiwakilisha humu
Kumbukeni Utaratibu utakuwa ule ule Bandika Bandua
Tunawaomba Radhi kwa usumbufu wote tulowasababishia na si kosa letu wala kosa la Mwandishi bali ni Muda kuwa mchache na Mwandishi wetu ana Viporo vingi
Mshauri patrick asiwe na story nyingi zinapungua ubora wake, ni vyema akawa nazo 2-4 kwa mwaka zitakuwa bora zaidi kuliko kuwa na story 10 ambazo hazina ubora
Kwangu, bado monika na peniel ni bora mara 100 zaidi kuliko hii...
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana, kaza moto tu ndo ukubwa huo.!Hatimae nimefikia pale arosto inapoanza
Nilikua sitaki kuianza kwa kuhofia hii kitu ila nikavutia na spidi ya mwanzo hatimae nikaianzaPole sana, kaza moto tu ndo ukubwa huo.!
Asante tuletee nyingine basi jamanTAARIFA KWA UMA
Story yetu Pendwa (Bring back our girl)
Bado iko Mikononi mwa Mtunzi wetu kwa maana bado inaandaliwa
Hivyo nawaomba muwe na Subra Week ijayo tutaanza tena kuiwakilisha humu
Kumbukeni Utaratibu utakuwa ule ule Bandika Bandua
Tunawaomba Radhi kwa usumbufu wote tulowasababishia na si kosa letu wala kosa la Mwandishi bali ni Muda kuwa mchache na Mwandishi wetu ana Viporo vingi
Mkuu umewaza kama mimiMshauri patrick asiwe na story nyingi zinapungua ubora wake, ni vyema akawa nazo 2-4 kwa mwaka zitakuwa bora zaidi kuliko kuwa na story 10 ambazo hazina ubora
Kwangu, bado monika na peniel ni bora mara 100 zaidi kuliko hii...
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante tuletee nyingine basi jaman