Riwaya: Afisa usalama

Sio mbaya sadaka maana hata kitabu watapeana tu
Ila Afisa Usalama ungeimalizia humu
Mm mwenyewe nilimshauli hivyo, kwanza unatengeneza jina kwa kazi moja nzuri and then watu watavutiwa tu kazi zako automatically
 
Leo hii unatoa simulizi ya 03 kwenye thread ya simulizi moja na zote hazitoshi.

Soko halitafutwi hivyo mkuu
 
Usalama wa TZ kama wachawi vile, hawataki mambo yao yafahamike kwa wasiohusika nayo. Inabidi uwashukuru sana kama wamekuruhusu uendelee na kazi yako, tofauti na hapo ungeiendelezea kule waliko watu wengi (kimyani).
 
Pole sana!bora ungeiweka hapa tusome tu!kuliko shida hizo ulizopata!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…