Mchokozi wa mambo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 201
- 160
Naitwa RUKIKO LAWRENCE tangu Jumatano nimetuma cheti changu cha kuzaliwa kihakikiwe kwa njia ya mtandao lakini mpaka sasa hakijarudi wala hakuna taarifa yoyote.
Wakati ukimaliza kufanya attachment na kutuma unaambiwa ndani ya siku 3 utapata majibu. Majibu mbona hamna leo ni siku ya 6 tunaenda?
RITA BORESHENI HUDUMA ZENU ZA MTANDAO TWENDE KWA KASI WENGINE TUNAENDA JKT HATUJUI TUNAFANIKIWA LINI KUOMBA MKOPO
Hata ukienda ofisi za RITA au wilaya unaambiwa uende mtandaoni sasa mbona hatuna msaada jamani tusaidieni
Wakati ukimaliza kufanya attachment na kutuma unaambiwa ndani ya siku 3 utapata majibu. Majibu mbona hamna leo ni siku ya 6 tunaenda?
RITA BORESHENI HUDUMA ZENU ZA MTANDAO TWENDE KWA KASI WENGINE TUNAENDA JKT HATUJUI TUNAFANIKIWA LINI KUOMBA MKOPO
Hata ukienda ofisi za RITA au wilaya unaambiwa uende mtandaoni sasa mbona hatuna msaada jamani tusaidieni