pole mno mtoa uzi kwa tatizo hilo,ILA tuangalie wapi tulikojikwaa SIO kuangukia!!,nchi yetu bado ni pithole country ambayo mpaka leo haiwezi tambua raia wake,tatizo kama hili lisingekuwepo kama alipozaliwa akasajiliwa pale pale ulipozaliwa na kupewa ID number(ndilo jina lako ambalo nchi yako imekupatia,ID number hii utakua nayo na utakufa nayo)na hii namba ipo ndani ya systems za nchi,kwa hiyo hawa RITA wakitaka kupata taarifa zako ni rahisi ni kuingiza ID number yako kwenye systems na taarifa zako zote wanakuwa nazo ,kwa hiyo hata masuala ya mkopo inakuwa rahisi kupata au kukosa maana wanakuelewa umetoka kweli kwenye familia ya chini au middle class au juu.bila ya kuwa na kitu kama hiki tutapata taabu mno,jina lako likishakuwa ndani ya system ya nchi sio rahisi kubadilisha(may be kwa wandoa wa kike wanaotaka kuchukua maiden name ya waume zao).na system hii inasaidia kuanzia huduma zote za kijamiii,including mikopo.tuachane na mambo ya miaka ya 47 dunia ya sasa ni technolojia!!!