Unaweza kuthibitisha waislamu hawakitaki CDM? Unajua waislamu ni kina nani? hivi unadhani hizi kilele zinazopigwa na waislamu wachache walioshibishwa na CCM ndio msimamo wa waislamu wote TZ? hivi waislamu wanapigiwa kura na viongozi wao au kila mmoja anapiga peke yake? acha kutoa mawazo ya waislamu kwa kusiliza vyombo vya habari, wewe unadhani tumesahau CCM ilivyo iua CUF?. Una maana waislamu tunapangiwa tujiunge chama gani na viongozi wetu?. Umeniudhi sana na hii post yako hapo chini, kama hujui uislamu tafadhali usitake kutujumuisha kwenye maamuzi ya watu binafsi.
Angalieni hoja za wana CDM-JF mpaka wanatia huruma, kichefuchefu tupu
SIJASEMA SEHEMU CDM INA GAMBA!! CDM haina tatizo lolote ila lisiasa kuna wakati huwa haueleweki unavyotaka ueleweke! nimetoa mifani ya salim na zuma, still you guys purposely mna -digress hoja!!
nwaonea huruma sijaona hoja , waislamu hawawatki BADALA YA KUWAAMBIA VIONGOZI WENU WAPIGANE NA HIYO HALI, MNABAKI KUTUMATUMA VIPOST VYA KISHABIKI..UJINGA HUO
HOJA ni kuwa CDM ifanye nini kujikwamua na hali hii kama mnaona is ok tuendelee!