Rished Bade: Taarifa ya makusanyo ya kodi

Rished Bade: Taarifa ya makusanyo ya kodi

Great thinker Nginana uko right kwa 100%, kujisifia ukusanyaji wa 13% ya GDP ni kidogo sana kwa taifa lililodhamiria kukusanya kodi... point of reference Burundi wanakusanya 17.5% ya GDP, Kenya 18.4%, Ghana 21%, South Africa 26%, Swaziland 39%, Lesotho 42%. JPM anayo nafasi ya kutufikishia makusanyo ya 25% ndani ya miaka 10 akiamua. Go JPM, go....!

I am grateful for your post! Tuna safari ndefu sana ila hawa 'viongozi' wetu ambao wangepaswa kutuonyesha njia hawajui njia!
 
Hivi lengo la makusanyo lkinapangwa vipi? Maana tusiwe tunasifiana kwa kuvuka malengo kumbe tumeweka malengo ya kuruka sufuria wakati tulikuwa na uwezo wa kuruka pipa au hata simtank lita 10,000!

Ni kweli, watu wanajiwekea malengo kiduchu, ili hata wakipiga, pasiwe na wa kuwauliza na ama waseme tumevuka lengo
 
Back
Top Bottom