Vinci
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 2,638
- 668
Mkuu hii ndo bill yenyewe ilisababishwa risasi "kurindima" au mfano tuu kuonyesha vile ukizabaa unakatwa kiaina fulani......Kwema lakini chairman
Chezea billi za wadada wa kimbulu na warangi!
Mtu anapata mshahara wa 45,000 kwa mwezi lakini anasomesha mwanae KambiYa FiSi Academy, we hushangai?