Usipende kudandia dandia vitu wewe, Mto wa mbu unapajua wewe? utakuja dandia vitu vyenye ncha kali!
Huwajui magamba mkuu..!!?
Usipende kudandia dandia vitu wewe, Mto wa mbu unapajua wewe? utakuja dandia vitu vyenye ncha kali!
Haupo mbugani wewe? Isje kuwa wanaua tembo.
mkuu heshima pliizau makamanda wanagawana hela za ruzuku?
Haupo mbugani wewe? Isje kuwa wanaua tembo.
Usipende kudandia dandia vitu wewe, Mto wa mbu unapajua wewe? utakuja dandia vitu vyenye ncha kali!
Halo mkuu bado hujalala? Mi nipo napata moja baridi moja moto,hao wazee wa A Town wapo kazini.Jamani Crashwise yuko wapi!? Mpaka sasa tungekuwa na taarifa inayoeleweka! Thy God bless Tz!
au makamanda wanagawana hela za ruzuku?
Wenye taarifa watujuze,mida hii kuna milio mingi ya risasi arusha mjini,kulikoni
Usipende kudandia dandia vitu wewe, Mto wa mbu unapajua wewe? utakuja dandia vitu vyenye ncha kali!