KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,276
Wenye taarifa watujuze,mida hii kuna milio mingi ya risasi arusha mjini,kulikoni
mizigo ya nginana aka ktbu wa gamba inapita
Wenye taarifa watujuze,mida hii kuna milio mingi ya risasi arusha mjini,kulikoni
'Kinana and the Wailers au..!??
kwani Kinana keshatoka Dodoma?
Pande zipi? NMC au Mto wa mbu?
Maandalizi ya VALENTINE'S hayoo.! !
Taarifa nilizothibitisha ni kuwa ni kishindo cha mafataki na risasi kupigwa hewani kule moshono kuashiria ufunguzi wa club cha usiku ambacho yule mama wa EOTF ana hisa mle.
dah nimejikuta nacheka tuPale Stand uh?? Me nilijuaga Kanisa linajengwa.
Bonge ya Kitu
taarifa apewe nan sasa wewe? Ama wanausalama mkuu..
Ni kwa sababu hawatujali sisi na afya zetu na ndiyo maana wanasema "The Rich get Richer and the poor go to hell" namaanisha hakuna anayemjali mtanzania wa kawaidaBy kisali.technitianjr.
taarifa apewe nan sasa wewe? Ama wanausalama mkuu..
mkuu kufyatua au kupiga fataki inaathari kwa jamii km hawajapewa taarifa,hivyo jamii itaarifiwe kabla ya tendo hilo
Pale Stand uh?? Me nilijuaga Kanisa linajengwa.
Bonge ya Kitu
mkuu uko kwa wapi mimi niko hapa goodhope pub nasikia wahindi wamefunga ndoa!Yamepigwa mafataki ya ukweli hapa mt.meru hotel kwenye mida ya 3 usiku huu. Imetupa shock sana mwanzoni mpaka kuja kujua ni hapo hotelini.