MD25
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 3,074
- 1,030
Wenye taarifa watujuze,mida hii kuna milio mingi ya risasi arusha mjini,kulikoni
Niko mianzini, Arusha Night Park, hiyo milio ipo wapi?
Wenye taarifa watujuze,mida hii kuna milio mingi ya risasi arusha mjini,kulikoni
Pande zipi? NMC au Mto wa mbu?
Taarifa niliyopata toka kwa mtu wa uhakika ni kwamba sauti hizo zimetokea maeneo ya moshono stendi ambapo kuna hoteli/club imezinduliwa ambapo kumepigwa/kuwashwa fataki,ila ni makosa makubwa kufanya hivyo bila kutoa taarifa
Taarifa niliyopata toka kwa mtu wa uhakika ni kwamba sauti hizo zimetokea maeneo ya moshono stendi ambapo kuna hoteli/club imezinduliwa ambapo kumepigwa/kuwashwa fataki,ila ni makosa makubwa kufanya hivyo bila kutoa taarifa
Wenye taarifa watujuze,mida hii kuna milio mingi ya risasi arusha mjini,kulikoni
Mkuu chama, makamanda wakiona tumetia timu magwanda yote yatoka jasho.
zitakuwa ni posho za maCCM< alioenda dodoma.au makamanda wanagawana hela za ruzuku?