Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Masikini CCM, mnazidi kupandikiza mbegu za chuki kwa vijana . . .
Mi nilishasema kwamba JK na wenzake ni kama wanashangaa mbona hiyo nguvu ya umma haijawafikia. Sasa inabidi wahamasishe kwa namna mbali mbali kama kuua watu arusha, kukamata Dr. Slaa, na sasa timua wafanya biashara Dar. Na sisi bado tunaogopa na kusema bado muda haujafika!