Mbangaizaji
Senior Member
- Jul 23, 2007
- 121
- 62
Mfumwa, how does that explain Rais wa nchi anayezungumza kuhusu Mwezi wa kumi kushindwa kukumbuka vifo vya watoto 19 vilivyotokea mwezi wa kumi?
Mwanakijiji ukishangaa hiyo what about this Quote
"Yapo malalamiko kwamba wale waliorudisha pia wanatakiwa kuwajibishwa. Lakini kwa kuwa serikali ilikuwa imeshawaahidi msamaha, itakuwa si sawa kuvunja ahadi yetu. Lakini tunaelewa pia kuwaachia huru itakuwa si haki. Kwa hiyo, naomba nichukue fursa hii kuomba watanzania watulazimishe kisheria kuwachukulia hatua, Kwa mfano, kutushitaki mahakamani na kuiomba mahakama itangaze kwamba msamaha wetu si halali ni jia mojawapo. Na hilo likitokea, sisi tutakuwa tayari kufuata amri ya mahakama na kuwafungulia hawa mashitaka. Hii ndio itakuwa njia rahisi kwa kila mmoja wetu" Mheshimiwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Hutuba ya Mwezi wa Oktoba
Si alishaenda Tabora mwezi wa 10 na alishazungumzia hilo suala, ripoti imetoka and that it.