Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,667
- 26,136
Sina muda wa kupoteza. Nenda kamuulize.Mulize mzee meko kwanini ameporomosha demokrasia Tanzania anawasiwasi wa nini
Sina muda wa kupoteza. Nenda kamuulize.Mulize mzee meko kwanini ameporomosha demokrasia Tanzania anawasiwasi wa nini
Sio Bundi siasa za Kenya huwa hazitabiriki sasa hivi kuna mpasuko mkubwa chama cha Jubilee na hiyo itapelekea Ruto vs KenyattaWewe ni bundi?
Mpasuko wa kiitikadi/kisiasa ni moja ya hatua za kidemokrasia!what matter ni jinsi unavyo deal na huo mpasuko! Tanzania hakuna mpasuko,kuna ukandamizaji!! Grasp that!Sio Bundi siasa za Kenya huwa hazitabiriki sasa hivi kuna mpasuko mkubwa chama cha Jubilee na hiyo itapelekea Ruto vs Kenyatta
Sent using Jamii Forums mobile app