Wa Tanganyika 2020 unajua utakuwa?Kenya bado sana 2022 itakuwa Ruto vs Kenyatta na machafuko yapo pale pale
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo zuzu nafikiri ni Dereva wa Mhaini Tundu Lissu ndio anatumia hiyo fake ID. Tumsamehe bure bado anapata matibabu ya Akili Ubeligiji.Asante kwa takwimu zinazoeleweka sio upupu wa Mwanahabari Huru usiokuwa na takwimu za kueleweka.
Mkuu ni wapi kwenye hiyo taarifa pameandikwa Chadema?au mm nimechanganya thread? Mana sijaona Popote kwenye hiyo taarifa Penye neno Chadema. Hii inaonyesha unachuki Sana na Chadema kiasi kwamba kila habari or kila jambo unalihusisha nayo. Sambaza UPendo Mkuu sio chuki haitokusaidia lolote.Mtoa mada kwa heshima na taadhima ungebadilisha username yako kuwa either 'Chadema habari' ungesound vzuri sana maana nmekuwa nkifuatilia habari zako zinakinzana na username yako ambayo unajiita Mwanahabari Huru lakni habari unazokuwa unazileta hapa jamvini ni za mlengwa mmoja tuu
Anyway ubarikiwe sana kwa kuendelea kutupasha habari humu jamvini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu amechukua kipande cha ranking ya miaka 5 iliyopita, anakuja kuleta leo. Shame on you for fooling people.KENYA NA TANZANIA ZOTE ZINA HYBRID DEMOCRACY NA HAO WAMAREKANI WALIOCHAPISHA HIYO RIPOTI HAWANA FULL DEMOCRACY WANA "Flawed democracy"
View attachment 1019185
Hatushindani! Tunashindanishwa!! Tumeshindwa!Kwani Tanzania Tunashindana?
Nchi yenu ipi?Repoet hii ilovyo inaelezea uhalisia. Mtu yeyote aliye mchunguzi ni lazima katika Afrika Mashariki, kwa kiwango cha uhuru wa kujieleza, angeiweka Kenya katika nafasi ya mwanzo.
Nchi yetu inashuka kwa kasi. Na tukienda na kasi yetu ya sasa haitachukua muda tutakuwa katikati ya Uganda na Rwanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni bundi?Kenya bado sana 2022 itakuwa Ruto vs Kenyatta na machafuko yapo pale pale
Sent using Jamii Forums mobile app
Mulize mzee meko kwanini ameporomosha demokrasia Tanzania anawasiwasi wa niniUpuuzi mtupu. Hiyo ripoti imetoka kabla ya mahojiano na Lisu BBC. Halafu kwa nini wakati Tanzania ilipokuwa juu ya Kenya habari haikuandikwa? Lazima ujue BBC Swahili ni chaka la wakenya. Kwa hiyo hamna kitu hapo. Jipange upya. Utawapata misukule wenzako wa ufipa tu.
'Huko' chadema ndiyo wapi? Hebu basi wakumbushe hao freedom house kuwa wamesahau nchi moja inayoitwa Chadema!! Una mavie kichwani wewe si bure!Huko Chadema "Uhuru wa Kidemokrasia" ndani ya chama ukoje kamanda!?
Yaani hiyo report imetolewa na Bavicha?A job well done kwa bavicha..