johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Unajua wizi wa serikalini ni mifumo iliyo katika mtindo wa Siasa zetu na asipotokea Mnyang'anyi mmoja mwenye Huruma ujue tumekwisha
Kisa cha Dismas na Dema waliosulubiwa Pamoja na Yesu kinaweza kuwa funzo zuri kwa CCM
Wakati Herode akitaka kumuua mtoto Yesu iliwabidi Yusuf na Mariam wasafiri kujificha Misti na wakiwa njiani walikutana na Vibaka Wawili Dismas na Dema ambao walitaka kuwapora
Dismas akamwambia Dema " Tuwaache waende tusiwapore kwa sababu Wana mtoto"
Dema alikataa lakin Dismas akamwambia " Hawa Tuwaache na tutakapomkaba mtu mwingine mgao wangu utachukua wewe kama fidia ya kuwaachia hawa"
Dismas na Dema ndio hawa Wanyang'anyi Wawili ambao miaka 33 baadae wakasulubiwa Pamoja na Yesu na Dismas ndiye aliyepata Neema ya ahadi ya Msalaba " Hakika Leo Hii Utakuwa Pamoja nami Peponi"
CCM na Vya Upinzani Wanaishi Kwenye mifumo ya Unyang'aji kama walivyoishi Dismas na Dema
Ripoti ya CAG imewasikitisha, Kuwahuzunisha na Kuwakatisha tamaa wengi tuwaombe Ndugu zetu CCM wawe na huruma hata ya kiwango cha Dismas kwa sababu " Watanzania Maskini Wana Watoto"
Sabato Njema!
Kisa cha Dismas na Dema waliosulubiwa Pamoja na Yesu kinaweza kuwa funzo zuri kwa CCM
Wakati Herode akitaka kumuua mtoto Yesu iliwabidi Yusuf na Mariam wasafiri kujificha Misti na wakiwa njiani walikutana na Vibaka Wawili Dismas na Dema ambao walitaka kuwapora
Dismas akamwambia Dema " Tuwaache waende tusiwapore kwa sababu Wana mtoto"
Dema alikataa lakin Dismas akamwambia " Hawa Tuwaache na tutakapomkaba mtu mwingine mgao wangu utachukua wewe kama fidia ya kuwaachia hawa"
Dismas na Dema ndio hawa Wanyang'anyi Wawili ambao miaka 33 baadae wakasulubiwa Pamoja na Yesu na Dismas ndiye aliyepata Neema ya ahadi ya Msalaba " Hakika Leo Hii Utakuwa Pamoja nami Peponi"
CCM na Vya Upinzani Wanaishi Kwenye mifumo ya Unyang'aji kama walivyoishi Dismas na Dema
Ripoti ya CAG imewasikitisha, Kuwahuzunisha na Kuwakatisha tamaa wengi tuwaombe Ndugu zetu CCM wawe na huruma hata ya kiwango cha Dismas kwa sababu " Watanzania Maskini Wana Watoto"
Sabato Njema!