mungasulwa
Member
- Feb 17, 2012
- 48
- 14
‘Never, never and never again shall it be that this beautiful land will again experience the oppression of one by another'.- Nelson Mandela.
Asante sana Mzee Mwanakijiji, umefanya kazi kubwa katika kutoa elimu kuhusu maisha ya Nelson Mandela (RIP!) Kama Watanzania tunajivunia mchango mkubwa ambao nchi yetu, pamoja na uchanga na umasikini wake, iliweza kutoa kwa nchi mbalimbali kusini mwa bara Afrika katika harakati za ukombozi. Hii picha hapa chini ni kielelezo kimojawapo tu kati ya michango mingi tuliyoitoa kama taifa.
![]()
Wakufunzi wa chuo cha ANC Mazimbu Morogoro enzi hizo