Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,243
- 44,520
- Thread starter
-
- #41
Thanks Mzee Mwanakijiji for cordial and full background ya Madiba.
I've to say that " the Hero" is gone, my prayers and condolences upon him, R..P Nelson Mandela instantly.
MUNGU AILAZE ROHO YAKE PEMA PEPONI
(Haki zote za picha na vielelezo vingine zinabakia kwa wenye nazo)
Kuna somo kubwa hapa; mwanadamu mmoja anaweza kuitii dhamira yake na kukataa kupiga magoti kwa mwanadamu mwingine na siku ya siku atasimama na utu wake hata kama hatokuwa na kitu kingine chochote cha kuonesha.
Kuna somo kubwa hapa; mwanadamu mmoja anaweza kuitii dhamira yake na kukataa kupiga magoti kwa mwanadamu mwingine na siku ya siku atasimama na utu wake hata kama hatokuwa na kitu kingine chochote cha kuonesha.