Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,590
- 6,957
MOSSAD wako vizuri lakini nadhani sehemu nyingine wanazidisha na kufanya propaganda ili kutishia watu hasa maadui zao (Psychological Warfare). Warusi na Wamarekani walikuwa wanatumia sana hii mbinu kipindi cha vita baridi. Mashirika ya kijasusi yakitoa taarifa usiziamini sana, nyingi huwa zimechakachuliwa au siyo za kweli.
Binafsi naamini CIA na MI6 zina mikono mirefu sana kuliko MOSSAD: Hata leo hii ukiwatoa CIA na MI6 sidhani kama Israeli inaweza kuwa salama hata kidogo. Edward Snowden anasema taarifa zote kutoka NSA vyombo vya ujasusi vya Israel hupewa bure bila kuchujwa.
Mfano mzuri kabisa, mikakati dhidi ya Iran nchi ya Israeli haiwezi kufanikisha yenyewe peke yake mpaka Marekani na Uingereza, kama angekuwa anaweza basi angekuwa keshamtwanga Iran mapema sana lakini huo uwezo hana.
Meir Dagan baada ya kustaafu alipohojiwa kuhusu Israel kuvamia Iran alisema "Iran is a big for Israel to fry alone" Akashauri kabisa Israel isijidanganye kuvamia Iran, madhara kwake yatakuwa makubwa sana.
CC: chige
Mkuu leo ndiyo nimejua hiyo dhana/process inaitwa eugenics. Hii imekuwa ikifanyika tangu kale sana, leo hii wanyama kama mbwa na wote tulio wadomesticate na mazao tunayolima yametokana na kuendelea kuzalisha kilicho bora. Ila siamini kama hii kitu inafanyika kwa binadamu kama mpango kabisa. Kama ni kweli basi ni hatari, hawana tofauti na wanazi na ishu zao za kuzalisha race bora.Naelewa lakini Wayahudi wamekuwa watata sana hata kabla ya vita ya pili ya dunia, maana kuna kikundi cha Wayahudi kama 40,000 kikiongozwa na Vladmir Lenin, Kamanev na Trotsky na wenzake walipundua Urusi yote na kuvuruga kabisa mzani wa dunia. Kuna kigenge kingine cha Wayahudi kilikuwepo kule Ujerumani na Austria kikiongozwa na Theodor Herlz ndiyo kilimpokonya Ujerumani ushindi wa vita ya kwanza ya dunia mwaka 1917. Kuna kigenge kingine cha Wayahudi ndicho kikiongozwa na Paul Warbug ndicho kilitengeneza The Federal Reserve ya Marekani ambayo ndiyo inaendesha Marekani ya leo.
Hapo bado hatujawataja wakina Nathan Rotschild na watoto zake waliotawala mifumo yote ya benki ya Ulaya hadi leo hii, wana kitu gani cha ziada maana kama utata hawajaanza leo. Hata kabla ya mateso na kufukuzwa Yerusalem historia inatuambia walikuwa wanafanya makubwa sana.
Do you believe in Eugenics? It works very well: The Jews have been practicing it for centuries.
Wakuu Wick na Red Giant do you believe in Eugenics Programme?
Nilicheki documentary ya ishu. US waliunda hii kitu wakawapa waisrael. bila kukubaliana waisrael wakaitumia kuaattack wa Iran. Wa US walimind sana. IIla huko tuendako itakuwa ni cyberwarfare tu, sijui tumejipangaje?Moja ya unyang'au wa huyu jamaa ni kipindi kile wamewapandikizia Waajemi Stuxnet Virus. Sijui huwa wanawazaga nini hawa jamaa yani. Hivi mkuu mng'ato unaukumbuka huu umafia waliofanyiwa Iran kwenye vinu vyao vya nyuklia ?
hii kitu ni muhimu sana. wanasema kwenye vita ya siku sita maafisa wa kiarabu walikuwa wameweka sababu ya baba na mjomba, Israel waliwekwa kiuwezo. Sijui tutafika huko? maana ile list ya watoto wa wajomba BOT ilikuwa hatari>Ila linapokuja suala la utaifa nadhani Wayahudi ni watu makini sana. Jamii yao iko very Meritocratic, kuna sehemu niliwahi kusoma kwamba kule Israel huwezi kupanda cheo kwa kupitia mjomba wala shangazi. Ukizungua hata uwe kiongozi wao mkubwa lazima wakuue ili uwe mfano. Kuna yule Waziri Mkuu wao Yitzak Rabbin aliyetaka kufanya makubaliono na wapalestina wakati wayahudi hawataki jamaa walimtwanga risasi akafa.
NB: Israel usipokuwa na uwezo huwezi kuwa kiongozi wa ngazi za juu hata siku moja,hasa kwenye vyombo vya usalama.
Mkuu Eugenics inafanyika sana kwenye hii dunia. Fuatilia zaidi utajionea mwenyewe.Mkuu leo ndiyo nimejua hiyo dhana/process inaitwa eugenics. Hii imekuwa ikifanyika tangu kale sana, leo hii wanyama kama mbwa na wote tulio wadomesticate na mazao tunayolima yametokana na kuendelea kuzalisha kilicho bora. Ila siamini kama hii kitu inafanyika kwa binadamu kama mpango kabisa. Kama ni kweli basi ni hatari, hawana tofauti na wanazi na ishu zao za kuzalisha race bora.
Wanahistoria wanasema Meritocracy ndiyo ilifanya Ujerumani iwe na nguvu kijeshi kuliko mataifa yote duniani kuanzia karne ya 19 mwishoni hadi 20 katikati. Wao ndiyo nchi ya kwanza duniani kuanzisha The Generals Staff kwenye jeshi lake ndipo dunia nzima tukaiga.hii kitu ni muhimu sana. wanasema kwenye vita ya siku sita maafisa wa kiarabu walikuwa wameweka sababu ya baba na mjomba, Israel waliwekwa kiuwezo. Sijui tutafika huko? maana ile list ya watoto wa wajomba BOT ilikuwa hatari>
Mkuu mimi sina utaalamu sana, lakini ninachojua ni kwamba Cyber Operations au Cyber Warfare huwa zinakuwa ni Support Operations ambazo hutumika kusaidia Military Operations on the ground zifanyike vizuri na kwa urahisi. Maana Cyber Warfare in sehemu kuu mbili, CNE (Computer Network Exploitation) and CNA (Computer Network Attacks).Nilicheki documentary ya ishu. US waliunda hii kitu wakawapa waisrael. bila kukubaliana waisrael wakaitumia kuaattack wa Iran. Wa US walimind sana. IIla huko tuendako itakuwa ni cyberwarfare tu, sijui tumejipangaje?
Nimetoka kusoma istoria yake kiufupi. Mshkaji was a dedicated officer. At the same time professional killer
Sent using Jamii Forums mobile app
Asipumzishwe aisee huko mbinguni kama kuna kisago apewe kimtindo
Hahaha, Cuzin Eugenics ni ukatili wa hali ya juu sana: Ina maana wale wote ambao mnawachukulia kama wadhaifu ndani ya jamii itabidi muwatoe kabisa wasiendelee kuzaliana.Honestly, sikuwa nakijua but kwa nilichokisoma na mie nitakuwa muumini mtiifu sana wa hiyo Eugenic programming.
Sure, mfano Bibi ni mtu mwenye IQ kubwa mnoo, lakini ni mtaalamu wa masuala ya buashara na uchumi mnoo, unaambiwa ameubadikisha Israel kiuchumi mnoo na kuirudisha katika ramani, Tangu vita ya lebanon na kujiuzulu ovyo kwa mawaziri na kuongezeka ushawishi wa Iran huyu jamaa alipokamata dola, mpaka leo yupo, ni more than 10 years sasa. Israel wanaangalia uwezo mnoo. Kweli unapozungumzia Ubepari au uajamaa ni unazungumzia nadharia za wayahudiIla linapokuja suala la utaifa nadhani Wayahudi ni watu makini sana. Jamii yao iko very Meritocratic, kuna sehemu niliwahi kusoma kwamba kule Israel huwezi kupanda cheo kwa kupitia mjomba wala shangazi. Ukizungua hata uwe kiongozi wao mkubwa lazima wakuue ili uwe mfano. Kuna yule Waziri Mkuu wao Yitzak Rabbin aliyetaka kufanya makubaliono na wapalestina wakati wayahudi hawataki jamaa walimtwanga risasi akafa.
NB: Israel usipokuwa na uwezo huwezi kuwa kiongozi wa ngazi za juu hata siku moja,hasa kwenye vyombo vya usalama.
Upo sahihi, kipindi flani nikiwa marekani nilikuja kuona kuwa degree yenye heshima marekani ni MBA. hata ukiwakuta waarabu wanasoma huko ni MBA, kwa ufupi NI kuwa taifa ili lisonge mbele linahitaji wataalamu wa management nzuri na biashara; Taifa haliitaji madaktari au ma engeneer wengi au wanasiasa wengi; Nooo. Management ni kila kitu; asilimia kubwa ya wanasayansi wa Marekani sio wazawa; but top management ni wamarekani.Naam, jamii za watu wa mashariki ya kati wanajua sana kujipanga vizuri. Hata Waarabu wanajua sana kujipanga, hasahasa kwenye Financial Management: wananishangaza sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu weusi wa marekani wanatumika kwenye kifungo cha ubaguzi bila wao kujijua; ni watu wa kuliaaa tuu na full chuki. Gavy aliwapa somo weusi wenzake kuwa kulalamika haisadii, tusome tumiliki biashara kubwa kila mahali tutaheshimiana, (...) ni story ndefu kidogo, mwanzo waliwini, baadae hujma sikaingia; kama ni kuteswa na kukataliwa kwenye hii dunia watu wa mashariki ya kati wanaongoza( anti semitic) chuki kwa watu wa mashariki ya kati ni kubwa mnoo ulaya kuliko kwa watu weusiMkuu kama manyanyaso hata weusi wamenyanyaswa sana huko Marekani lakini mbona hawabadiliki kabisa na kila siku wanazidi kuvurugikiwa ?
Sent using Jamii Forums mobile app