MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,451
- 69,319
Moja ya unyang'au wa huyu jamaa ni kipindi kile wamewapandikizia Waajemi Stuxnet Virus. Sijui huwa wanawazaga nini hawa jamaa yani. Hivi mkuu mng'ato unaukumbuka huu umafia waliofanyiwa Iran kwenye vinu vyao vya nyuklia ?Ongezea hapo na king of shadows, Meir Dagan