MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,441
- 69,189
Naam, jamii za watu wa mashariki ya kati wanajua sana kujipanga vizuri. Hata Waarabu wanajua sana kujipanga, hasahasa kwenye Financial Management: wananishangaza sana.Naam mkuu! Suala sio mko kiasi gani bali mmeji-organise kiasi gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app